Ninakupenda sana Tanzania pia ninakuwazia utakaporudi tena kwa watu walewale wanaokutesa miaka minne na kukubembeleza miezi mitatu
Tanzania ninakufananisha na yule Jamaa ambaye alitekwa na kuteswa sana akapata nafasi ya kutoroka ila alitoka nje na kurudi tena ndani kisa anaogopa Waliomteka na kumtesa labda watamuona
Tanzania upo kwenye mikono ya watu ambao hawataki kujifunza kutokana na makosa nakupenda Tanzania
Tanzania upo kwenye mikono ya watu ambao hawana sifa kuu ya mjasiriamali ambayo ni (risk taker)
Narudia tena chozi litanitoka kusikia unarudi au unafunga tena ndoa ya miaka mitano na Mume ambaye anakutesa kwa miaka minne na kukufariji kwa miezi mitatu nawe unasahau mateso ya miaka minne
Nyie watu watu wawili mmeandika mambo ya msingi sana, mbarikiwe.Tufanye Urais upinzani ulikosea, yaani hata ubunge bado tu Watanzania wanawaamini watu waliokaa majimboni miaka 10 na zaidi???
Kuna gharama ya mabadiliko, watu wakiendelea kuwa waoga tutabaki hapa hapa...
Uchaguzi wa mwaka huu nilitegemea bunge liwe na uwiano mzuri lakini inavyoelekea tunarudi kulekule kwenye wanaosema Ndiooo waseme ndiooooo....
Ninakupenda sana Tanzania pia ninakuwazia utakaporudi tena kwa watu walewale wanaokutesa miaka minne na kukubembeleza miezi mitatu
Tanzania ninakufananisha na yule Jamaa ambaye alitekwa na kuteswa sana akapata nafasi ya kutoroka ila alitoka nje na kurudi tena ndani kisa anaogopa Waliomteka na kumtesa labda watamuona
Tanzania upo kwenye mikono ya watu ambao hawataki kujifunza kutokana na makosa nakupenda Tanzania
Tanzania upo kwenye mikono ya watu ambao hawana sifa kuu ya mjasiriamali ambayo ni (risk taker)
Narudia tena chozi litanitoka kusikia unarudi au unafunga tena ndoa ya miaka mitano na Mume ambaye anakutesa kwa miaka minne na kukufariji kwa miezi mitatu nawe unasahau mateso ya miaka minne
Tafiti nyingi zinaripoti kuwa wanaoiunga ccm mkono ni wajinga na watu waliojikatia tamaa..!!
Not only lack of exposure high level of ignorance ongezea na uelewa wa mambo Ku okoa taifa hili inahtajika elimu kwenye kila ngazi
kweli kabisa. Kama macho hayawahi kuona tofauti na kilicho zoeleka, kumbadilisha mwenye macho ni ndoto za alinacha.
Soma "allegory of the cave by Plato"
Allegory of the cave eeh? Toeni elimu ya uraia kwa wananchi na muwe na strategy nzuri na mikakati ya kudumu. Mmepoteza muda mwingi kumsafisha Lowassa badala ya kuelezea sera zenu. Haya mambo ya Plato na pango lake na waogopa mwanga hazitawasaidia. Jitathminini kwanza badala ya kukimbilia kusema kuwa wapiga kura ni wajinga. Inawezekana nyinyi mlioko nje ya pango ndo wajinga japo hamjielewi!Soma "allegory of the cave by Plato"
Watanzania sio wajinga kama ulivyofikiria...!! Hatuwezi kumpa fisi atawale nchi..!! Mpaka upinzani utakapokua upinzani kweli na sio timu ya wasakatumbu ndo tutawachagua upinzani...:hand:
Watanzania sio wajinga kama ulivyofikiria...!! Hatuwezi kumpa fisi atawale nchi..!! Mpaka upinzani utakapokua upinzani kweli na sio timu ya wasakatumbu ndo tutawachagua upinzani...:hand:
Kuna watu mnajiona mna akili sana kumbe ni wapumbavu tu.Wengine hawajawapigia kura upinzani kama salamu tu ya kwamba wao siyo wapumbavu wa aina hiyo.Huwezi kuwaimbia watu Lowassa fisadi kwa miaka saba halafu eti ndani ya miezi miwili tu uanze kuwaaminisha kwamba Lowassa siyo fisadi Mara oooh katubu.Mnao waona watanzania wapumbavu kisa hawakubaliani na upumbavu wenu basi nyie ndo wapumbavu hasa.Mbadala wa CCM ukipatikana,CCM itang'oka tu lakini kama wanaojitokeza ni hawa hawa mchwa watafuna ruzuku then CCM itaendelea tu.Heri ujue moja kuwa hiki ni kinyesi kuliko ulaghaiwe na kinyesi kilichopuliziwa perfume.
kweli kabisa. Kama macho hayawahi kuona tofauti na kilicho zoeleka, kumbadilisha mwenye macho ni ndoto za alinacha.
broo upinzani hadi sasa una mafanikio makubwa sana haijawahi kutokea safari ya kubadilisha utawala katika jamii yenye elimu duni si kazi lele mama. hakuna sehemu iliyokuwa ikiniuma kama Dar es salaam lakini safari hii dar imebadilika na hii ni dalili njema sababu madudu na uozo mwingi ulikuwa unafanyikia hapo. hii ni dalili njema sanaPale wananchi wanaposhabikia siasa kama ushabiki wa mpira ndio hapo utokea yote tunayoyaona leo.nitabaki kuamiani kwamba Upinzani ungeleta changamoto kubwa sana katika Taifa letu hili.hila njaa imetukost .tutaendelea kuwa maskini
Tufanye Urais upinzani ulikosea, yaani hata ubunge bado tu Watanzania wanawaamini watu waliokaa majimboni miaka 10 na zaidi???
Kuna gharama ya mabadiliko, watu wakiendelea kuwa waoga tutabaki hapa hapa...
Uchaguzi wa mwaka huu nilitegemea bunge liwe na uwiano mzuri lakini inavyoelekea tunarudi kulekule kwenye wanaosema Ndiooo waseme ndiooooo....
Hamuwezi kumpa fisi atawale nchi?
Unaona sasa..huu ndo ujuha wenyewe ninaouzungumzia.
Hao CCM ni zaidi ya fisi maana wao ndo waliosababisha na watakaoendelea kusababisha hali tuliyonayo.
Kama hulioni hilo ni ama unanufaika na uwepo wao madarakani au u juha kama jiwe.