ok hii ndio mazingaombwe na ghiliba za wakawa tumezishinda.... itikadi za ulafi ubinadi uliokithiri. sisi tunaoiunga mkono ccm/magufuli hatuhitaji kua fisi au nyang'au ili kupata maendeleo. hatutaki kuongozwa na watu fisad.Tafiti nyingi zinaripoti kuwa wanaoiunga ccm mkono ni wajinga na watu waliojikatia tamaa..!!
Hii nchi ina watu wa ajabu Sana.
Watanzania sio wajinga kama ulivyofikiria...!! Hatuwezi kumpa fisi atawale nchi..!! Mpaka upinzani utakapokua upinzani kweli na sio timu ya wasakatumbu ndo tutawachagua upinzani...:hand:
Utaisoma namba bitch! CCM inarudi tena na sasa Magufuli atawanyoosha kisawasawa. Kwa akili zako ndogo ulitaka yule anayekunya kwenye nguo ndio awe rais wetu?? Sahau, Watanzania wamekataa mtu anayejinyea, wamemchagua mtu wa kaziTu na anaongoza kwa kura nyingi sana bado kuapishwa tu. Nilisema mimi, kamwe mabadiliko hayaletwi na wanywa viroba na wapumbavu.
.............ila nafurahi kuona umepokonyoka toka kwenye mikono ya walanguzi ambao walikuwa na uchu wa kukupeleka mnadani huku wakitokwa na udenda wa tamaa ya fedha ambayo wangepiga baada ya kumpata mnunuzi toka ughaibuni! MUNGU akulinde Ooh Mama Tanzania!!!!!Ninakupenda sana Tanzania pia ninakuwazia utakaporudi tena kwa watu walewale wanaokutesa miaka minne na kukubembeleza miezi mitatu
Tanzania ninakufananisha na yule Jamaa ambaye alitekwa na kuteswa sana akapata nafasi ya kutoroka ila alitoka nje na kurudi tena ndani kisa anaogopa Waliomteka na kumtesa labda watamuona
Tanzania upo kwenye mikono ya watu ambao hawataki kujifunza kutokana na makosa nakupenda Tanzania
Tanzania upo kwenye mikono ya watu ambao hawana sifa kuu ya mjasiriamali ambayo ni (risk taker)
Narudia tena chozi litanitoka kusikia unarudi au unafunga tena ndoa ya miaka mitano na Mume ambaye anakutesa kwa miaka minne na kukufariji kwa miezi mitatu nawe unasahau mateso ya miaka minne
Nani kakwambia na kukuaminisha kwamba kujitambua ni kuchoma moto mazuri yaliyofanywa na waasisi wa nchi yetu!!! Stop living in the past!Tanganyika ujanja wetu kubishana vijiweni na jf.