Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,080
- 136,554
Watanzania sio wajinga kama ulivyofikiria...!! Hatuwezi kumpa fisi atawale nchi..!! Mpaka upinzani utakapokua upinzani kweli na sio timu ya wasakatumbu ndo tutawachagua upinzani...:hand:
Hamuwezi kumpa fisi atawale nchi?
Unaona sasa..huu ndo ujuha wenyewe ninaouzungumzia.
Hao CCM ni zaidi ya fisi maana wao ndo waliosababisha na watakaoendelea kusababisha hali tuliyonayo.
Kama hulioni hilo ni ama unanufaika na uwepo wao madarakani au u juha kama jiwe.