Maskini Tanzania!

Maskini Tanzania!

Jiheshimu kutukana wasukuma ni jambo la kushangaza sana..na sijafurahishwa..ni bora ukae kimya au utumie maneno mengine kuonyesha hisia zako sio kutukana kabila la mtu..
 
Mimi nashangaa sana watu wanavosema anguko la ukawa tatizo ni lowassa mimi nakataa kabisa. Na hili lilikuwa somo tosha na watu waelewe kuwa Watu wanachagua chama wala si mtu.

Kwa mazingira haya hakuna mgombea/mtu yeyote hata kutoka CCM angeweza kusimamishwa uraisi UKAWA na akashinda, hata tungesema wabadilishane MAGU na EDO , magufuli angeanguka vibaya sana kama angekuwa UKAWA na lowasa angeshnda hata kwa 85% percent angekuwa CCM.

Kuitoa ccm kunaendana sambamba na kutoa ujinga na umasikini wa watanzania. CCM itatoka pale ambapo ujinga wa watanzania wengi utakuwa umepungua, si vinginevo.

Kwa mfumo wetu ata KIKWETE au OBAMA angeenda ukawa angeshindwa.EDO kwenda ukawa ni somo kuwa watanzania wanachagua chama rather than a good leader
 
wanaojituma only need ccm wanaopenda mteremko wanataka mabadiliko wewe kama hujitumi upati mabadiliko zaid ya kubalid nguo tu uku unalalamikia ccm wanakunyonya
 
Hakuna kulalamika tena ...we just have to learn the hard way!!
 
Ninakupenda sana Tanzania pia ninakuwazia utakaporudi tena kwa watu walewale wanaokutesa miaka minne na kukubembeleza miezi mitatu

Tanzania ninakufananisha na yule Jamaa ambaye alitekwa na kuteswa sana akapata nafasi ya kutoroka ila alitoka nje na kurudi tena ndani kisa anaogopa Waliomteka na kumtesa labda watamuona

Tanzania upo kwenye mikono ya watu ambao hawataki kujifunza kutokana na makosa nakupenda Tanzania

Tanzania upo kwenye mikono ya watu ambao hawana sifa kuu ya mjasiriamali ambayo ni (risk taker)

Narudia tena chozi litanitoka kusikia unarudi au unafunga tena ndoa ya miaka mitano na Mume ambaye anakutesa kwa miaka minne na kukufariji kwa miezi mitatu nawe unasahau mateso ya miaka minne

Risk taking ya ufisadi hatuitaki. We want real entrepreneurs.
 
Haya ma trillion ya pesa wanayoteketeza ...wangetumia tuu katika maendeleo ya nchi na kututawala kinguvu ...sio haya maigizo ya kila baada ya miaka mitano.
 
Kama tatizo lingekuwa ni LOWASA tuu ....basi wabunge wangechaguliwa wengi. Waafrica tuu majuha tunaotakiwa kufanyiwa utafiti bongo zetu.
 
Watumwa wanadai utumwa. Maskini wanadai umaskini.. Hiyo ndio karma. You get what you want.Tunarudi utumwani sababu iko wazi. mnaotaka kuendelea shauri yenu. Tujitegemee wala tusihangaike na wajinga. Ujinga ujinga tuu

nchi ni ya wapumbavu na malofa haina haja ya kuangaika nao tena, i officially give up in Tz politics.. i dont expect to participate in any political activities anymore,
 
:smash: hahah WAkuu kumbe nyie hamjamjua Mtanzania, Mtanzania anapenda sana maisha ya shida,

Na ikumbukwe kuwa Mungu anaipenda sana Tanzania.

Na ndio maana hata kama una nia Mbaya na Tanzania Mungu anakuumbua Mapema,
Mtanzania ukimpeleka kwenye maisha ya la raha ,yeye anaona Tabu sana,

Pia ni fursa tena kwetu sisi wajanja kufanya biashara kwa nchi kama hii,
tuacheni majungu tupige kazi,
hatimaye malengo yetu kufika.
 
Watanzania ni watu wanaojielewa sana.

Wamefanya maamuzi sahihi.
 
Watanzania wanaakili sana. hawawezi kukabidhi mifugo yao kwa fisi aliyerarua mifugo hiyo eti kwa kuwa kuna kikundi cha watu kinawaaminisha kwamba fisi huyo sasa hana tena meno na kucha kwakuwa wamenufaishwa

Kweli kabisa mkuu haitatokea nchi hii kupiga hatua ya maendeleo hata kwa miaka elfu ijayo maana hayo ndo maisha waliyo yachagua
 
Urais sitalalamika kwa sababu kwangu yeyote kati ya 2 alikuwa sahihi,Hivi kweli Watz tumechagua wabunge wengi wa ccm kutosha kujenga serikali?Kweli anarudi bungeni akawe waziri mama wa ESCROW,dah TIBAIJUKA?.roho inauma sana.Nadhani tupo wengi tunawaza kutopiga kura tena.
 
Back
Top Bottom