Maskini Tanzania!

Maskini Tanzania!

Ukiwa kiongozi katika nchi ya watu wasiojielewa kama hii ni utajiri na hazina ya pekee!
 
Umenena vyema mkuu hasa la kuondoa CCM A na kuisimika CCM B.

Hata wananchi wana makosa tena mengi mf.mtu kama Kafulila au Mkosamali unawaacha na kuchagua ndiyooooooooo je wewe uko vizuri kichwani?
 
Hii nchi ina watu wa ajabu Sana.

. Ajabu ilianza pale cdm walipomtimua kwa kashifa Dr.slaa na kumleta fisadi papa lowass.....na wanyonge wakampokea bila kujua kwamba ulikuwa ni mtego......sasa suburi kazi ianze chozi litawatoka sana.
 
Urais sitalalamika kwa sababu kwangu yeyote kati ya 2 alikuwa sahihi,Hivi kweli Watz tumechagua wabunge wengi wa ccm kutosha kujenga serikali?Kweli anarudi bungeni akawe waziri mama wa ESCROW,dah TIBAIJUKA?.roho inauma sana.Nadhani tupo wengi tunawaza kutopiga kura tena.

mimi ni mmoja wao, haina aja ya kupoteza tena muda kwa kupanga mifoleni masaa manne afu output inakuwa zero, this is shame
 
hakuna watu wakabila kama wasukuma
Lete data kusapoti generalization yako. Nyie mmeleta mambo ya ukanda, udini, Uchagga na upuuzi mwingine mnafikiri Wasukuma wajinga? Kumbukeni kuwa Wasukuma tupo karibu 15% ya population nzima na mkiendelea na hii tabia ya kufufua mambo ya ukabila haitatokea rais ashinde bila kupata support yetu. Kwa hiyo nyie tukaneni lakini hiyo tabia ya kujiona nyie bora kuliko makabila mengine tayari imewa-cost na itaendelea kuwa - cost sana. Wasukuma is a sleeping giant kwenye siasa za Bongo and the scary part is the giant is beginning to awaken. Kama vipi fuateni ushauri wa Nassari mjitenge muanzishe Chagga or Northern Zone Republic!
 
Pale wananchi wanaposhabikia siasa kama ushabiki wa mpira ndio hapo utokea yote tunayoyaona leo.nitabaki kuamiani kwamba Upinzani ungeleta changamoto kubwa sana katika Taifa letu hili.hila njaa imetukost .tutaendelea kuwa maskini

True brother
 
Jamani, lets be serious. Hivi kweli kuna mtu serious aliyedhani kuwa Tanzania itakabidhiwa kwa UKAWA? No way. Mimi sina tatizo na LOWASSA. Lakini ukweli ni kuwa hawezi kuwa rais mzuri wa Tanzania tunayoitaka. Yaani kweli watu kweli mlitegemea Mbowe awe waziri wa Fedha na Tundu Lissu Waziri Mkuu? Watanzania wana akili... Na kinachofuatia sasa ni mwanzo wa anguko kuu la CHADEMA.

Labda kama umechangia kwa utani hebu jiulize Tundu Lisu unamlinganisha nani ktk chama chenu?
 
Brother hiyo lugha ni mbaya achana nayo kabisa!!!

Watanzania ndio tatizo,,.. Kila mahali kuna wana-ccm. Umeona hata ngome za wapinzani, hawakosekani..

Kwa hiyo usitumie ukabila kwenye post zako

hasa masukuma hovyoooo kama nyumbu kule serengeti
 
Mimi nasubiria kuona ujenzi wa reli ya kati november, pamoja na fly over na bandari ya bagamoyo!!!

ni kweli lkn ameipa nguvu sana upinzani, wajipange 2020 wanaweza kuchukua wakimsimamisha mgombea mwingine, ccm kama watashinda wana changamoto sana wanatakiwa kurekebisha mambo mengi ili wananchi waanze kuiamini. Matokeo bado lakini tusubiri
 
Upinzani ni mzuri ila inategemea ni nani anapewa nchi sio wote ni wapinzan wazur
 
Mimi ni chadema damu ila iliniuma sana mlipomkaribisha lowassa na kumtetea, nilichokifanya tarehe 25 ni kutafuta lilipo jina la ccm na kumpa tiki mcng mlimwaga ugali nikamwaga mboga ila naipenda chadema toka moyoni nipo tayari kuungana nanyi tena kwa mapambano, chadema ina majembe weng wanaoweza kuleta mabadiliko bila kutegemea watokao ccm tena wasio na uwezo wa kuongoza taifa ili.
 
Mijinga sana watanzania... 75% hawajijui...!!! UJINGA wa Watanzania NDIO MTAJI WAO MKUU..!!

So, CCM wanatengeneza TAifa la mazezeta, kwa kuwanyima ELIMU...ili iwatawale kama kondoo...!!!

Na watanzania mtapata shida hadi mkome, maana hamjifunzi... na ndio mkome... MAANA HAMUELEWI...!!
 
Mimi ni chadema damu ila iliniuma sana mlipomkaribisha lowassa na kumtetea, nilichokifanya tarehe 25 ni kutafuta lilipo jina la ccm na kumpa tiki mcng mlimwaga ugali nikamwaga mboga ila naipenda chadema toka moyoni nipo tayari kuungana nanyi tena kwa mapambano, chadema ina majembe weng wanaoweza kuleta mabadiliko bila kutegemea watokao ccm tena wasio na uwezo wa kuongoza taifa ili.

Eti unajisifia,sidhani kama umemkomoa mtu.nadhani mwanzoni uliona ccm si chaguo sahihi baadae ukaja kuona mgombea wa chadema si sahihi zaidi.Ungempa ACT au mwingine yeyote ningeona umpinzani wa kweli,Hata hivyo hongera kwa sasa na Hongera zako zaidi utazipata Alhamisi.
 
Labda kama umechangia kwa utani hebu jiulize Tundu Lisu unamlinganisha nani ktk chama chenu?

Tundulisu size yake ni bi Anna, hana sifa nyingine labda akiwa mahakamani. anakurupuka hata akisimamia hoja ya maana mwisho kuharibu. Jobu Ndugai yuko smart zaidi yake. Lisu na bi Anna ndio sawa sawa.
 
Back
Top Bottom