Usitafute visingizio,.....Nimekukamata red handed.Mtambuzi bora umekuja, binti yako Canta kanivunjia ndouwa.
Ndoa ndoa ndoa ndoa......! nyingi ya story labda asilimia 95 ninazosikia katika ndoa hua ni hasi/negative.
hivi hii ni implication kua ndoa sio kitu chema au???
Au asilimia kubwa ni ktu kibaya na kiasi kidogo ndo kinachokua na uzuri?
Jamani X-mke mwenza mbona ivo?usanii wa nini?
Kwani Canta anaimba siku hizi?
Afu mnanchakachulia sredi.
Ntaripoti abyuzi sasa hivi.
Mwambie huyo maana naona bado hajaamini kwamba kwangu ndio ushafika,Canta kwa mahanjumati usimguse kabisa, Ile namba nyingine! Mpaka huwa nahisi akipika huwa kwenye souce anachanganyia na nanihii kidogo!!
Shikamoo Bishanga,kwa hiyo canta ni He na rejao ni She?
Hahahah hahahah,Nawasoma tu hapa na ujinga wenu................Msitake kuniharibia siku, kwani Canta anahusikaje humu?
Asante baba!Usitafute visingizio,.....Nimekukamata red handed.
Ungeniuzia hii stori ningetengeneza Movie fasta....................Umeharibu dili wewe!
Lakini tunaweza kuongea pembeni na ku-negotiate price ya sript ili nianze matayarisho ya kutafuta wasanii wa kuigiza hii Movie.............
Casting tangu ningeipanga kama ifuatavyo....
Steling anayesimama kwenye nafasi yako - REJAO
Atakayesimama kwenye nafasi ya Sophie- KAPIPI
Atakayesimama kwenye nafasi ya mkeo wa sasa - ?
Watakaosimama kwenye nafasi ya ndugu zako ni hawa wafuatao - BISHANGA, MADAMEX, CANTALISA, THE BOSS, HUSNINYO, KING'ASTI, ASHADII, na wengineo.....
Mimi nitasimama kama mtu aliyekushauri uache pombe...........
Hivi kwa Movie hii hatutawapiku kina Kanumba kweli?
Hahahah hahahah,
Pole baba ulikua hujui?
Watakucheka watu,
Usijali baba yangu soon nakuletea mjukuu then tutaongea vizuri lol!
Nikija nikule tee zawadi gani?
Baba Ngina ebu fanya makeke basi, na sie tuonekane kwenye kideo........walau tuoshe majina! Alafu kwa jinsi tulivyo na matalent kina Kanumba wote lazima tuwapige chali au Kongosho unasemaje??
unaishi wapi?
Nitakutoa out siku moja.
Ungeniuzia hii stori ningetengeneza Movie fasta....................Umeharibu dili wewe!
Lakini tunaweza kuongea pembeni na ku-negotiate price ya sript ili nianze matayarisho ya kutafuta wasanii wa kuigiza hii Movie.............
Casting tangu ningeipanga kama ifuatavyo....
Steling anayesimama kwenye nafasi yako - REJAO
Atakayesimama kwenye nafasi ya Sophie- KAPIPI
Atakayesimama kwenye nafasi ya mkeo wa sasa - ?
Watakaosimama kwenye nafasi ya ndugu zako ni hawa wafuatao - BISHANGA, MADAMEX, CANTALISA, THE BOSS, HUSNINYO, KING'ASTI, ASHADII, na wengineo.....
Mimi nitasimama kama mtu aliyekushauri uache pombe...........
Hivi kwa Movie hii hatutawapiku kina Kanumba kweli?
Nishaanza kuandika script mbona, hii stori imesimama.................!
Sasa wadau chagueni ukumbi wa kufanyia reheasal kwani wiki mbili zijazo tunaanza shootings........Ma-Directors nishawapanga mapema.........Location Director atakuwa Mwanjamiione, na mambo ya cosmetics atasimama The Fine mwenyewe, na Mamndenyi atasimama kama Meneja mahusiano................Vyeo vingine nimevisahau.........LOL