Judgement hayupo, tuibie nini kidogo?hiyo ni four figure.
jamani si ujauzito unamsumbua? Acha tu nimdekeze,hata hausgel tumetupa kurrreeeeee!hapa unajidai mjanja kumbe...!!!!! Fanya haraka urudi nyumbani kwanza...Eliza wa Tegeta anakusubiri ukamwoshee vyombo!!
Leo w.end...usanii wa nini?
Kwani Canta anaimba siku hizi?
Afu mnanchakachulia sredi.
Ntaripoti abyuzi sasa hivi.
hivi kloro na miujanja yako unamwogopa mwanaume mwenzio?Judgement hayupo, tuibie nini kidogo?
achana na sophy bana, kwa sasa tunadiskas mambo ya kitaifa hapa,hivi huoni kidogo kidogo Husn anaanza kuyaona maisha katika mwanga bora? We vipi?
halafu jana nasikia kapigana bar kisa baamedi,mpige chini bana,i am available my dia.
hivi wewe na madigrii yako yote LLB(udsm),LLM(harvard),Doctor of Philosophy (london school of economics),her majesty counsel QC,kweli kabisa Konnie anakuingiza choo cha kike nawe unakubali mzee mzima wa Lincoln?
Judgement hayupo, tuibie nini kidogo?
Sio kuogopa, kuna ile wanasema cha kuiba kitamu.hivi kloro na miujanja yako unamwogopa mwanaume mwenzio?
Kumbe hujamaliza story? aah basi Sophia kumbe alikuwa dada yake mshkaji! jamaa kuja kugundua si akajiua?Yaani mkuu nilipofika paragraph ya tano tu nikashindwa kuendelea, Dah! Halaf huwez kuamini sophia alikuwa nurse bana
Nataka nisimmalize kabisa, ndio nafikiria nipige sehemu gani ili ashindwe kukufata fata kabisa!Itest tu, bishanga ashaninchosha na mabalaa yake.
no comment.......Halaf huyu sophia asije akawa ni yule memba aliokuwa anajiita dasophy? Lawyer nakonnect ze dots
unanchekesha!huyo baamedi nilikuwa mimi.
kabadili ubini
anaitwa Rejao Cantalisia.