Maskini Sophia wangu... Sasa najutia!

Maskini Sophia wangu... Sasa najutia!

I wish I could see you in person and talk.
You are 'the brave one' and you know I mean it.

Jamani mambo ya ndoa magumu.... Magumu mno! Hii story... Dah! No comment.
 
yaani, Sophy simpati tena, na ameshapiga hatua ya maisha mbali tu.

Mie huku mke kanishinda, naenda naye sijui kwa nguvu za nani.

Tabu tupu.
Nadhani tatizo lako ni kubwa sana,kwa sababu siyo rahisi tena kumpata Sophia kama ameshachukuliwa na Major General.
 
tena kuwa makini sana, si unajua nyumbani hatutaki nyamahanga.

Kama ni wa Kanyigo utanielewa.

Pole sana mzee kongosho,mimi nakuomba uvumilie.
Mimi ni kijana mdogo sana tena sana kwako,ila umenifunza jambo.nazani mzazi wangu atanielewa sina jinsi
 
bishanga uzee una mauza uza!

Utawakumbuka hata wake za watu woote ulozaa nao, na utawataka watoto wako.

Ukizeeka utanikumbuka.

still daydreaming? Umekuwa alinacha weye? Embu sogea karibu kwanza mtoto mzuri...........
 
kongosho!kutokana na maelezo yako mengi,wewe ni mwanamke,lakini dudu pia unalo,unaweza kuwowa wenzako,bila shaka ulianza mchezo wako shuleni kwenye bweni la magembe!ila leo umenishangaza kumbe na mimba unatundika pia?
 
hahahahahahahahahahahahahahaha...... naomba nicheke tu. kweli unafaa kujiunga na kina joti
 
Kipipi, usugune tu.
Na hiki kizazi cha haki sawa kinadhoofisha ndoa sana.

Kua uyaone magorofa ya Kariakoo.

Sitaki kuamini kama hiki kisa kilikutokea wewe Kongosho.....nahisi mhusika ni mwingine kabisaa (samahani lakini)! Btw, thanks kwa kushare dear....kwa wale wenye ukabila nadhani wamepata walau kitu cha kuwafumbua macho!
 
unaishi wapi?
Nitakutoa out siku moja.

Sitaki kuamini kama hiki kisa kilikutokea wewe Kongosho.....nahisi mhusika ni mwingine kabisaa (samahani lakini)! Btw, thanks kwa kushare dear....kwa wale wenye ukabila nadhani wamepata walau kitu cha kuwafumbua macho!
 
he he he, ukipata muda, angalia sredi ya walosoma azania na buhangija.

kongosho!kutokana na maelezo yako mengi,wewe ni mwanamke,lakini dudu pia unalo,unaweza kuwowa wenzako,bila shaka ulianza mchezo wako shuleni kwenye bweni la magembe!ila leo umenishangaza kumbe na mimba unatundika pia?
 
baada ya kulewa na kuokotwa mtaroni. Walidhani nimepoteza uhai na kunihifadhi kwenye mochwari ya dispensari moja kabla ya kesho yake asubuhi kuhamishiwa hospitali kubwa, niliamka nakujikuta mochwari, kuanzia hapo nilifanyia kazi tatizo langu la pombe na kuacha.

Hivi hawakukuvunjia yai kweli?!
 
After reading this e-mail, sijutii maamuzi yangu yaliopita. It was for gud.
 
aisee ni bora mtu akuwekee bifu ili upate muda wa ku-expalin.

Mtu asiyeweka bifu anatesa sana, maana hakupi muda wa ku-justify the unjustifiable.

I hate that!

Sophia safi sana. No bifu
 
yaani, Sophy simpati tena, na ameshapiga hatua ya maisha mbali tu.

Mie huku mke kanishinda, naenda naye sijui kwa nguvu za nani.

Tabu tupu.

Ungeniuzia hii stori ningetengeneza Movie fasta....................Umeharibu dili wewe!
Lakini tunaweza kuongea pembeni na ku-negotiate price ya sript ili nianze matayarisho ya kutafuta wasanii wa kuigiza hii Movie.............

Casting tangu ningeipanga kama ifuatavyo....

Steling anayesimama kwenye nafasi yako - REJAO
Atakayesimama kwenye nafasi ya Sophie- KAPIPI
Atakayesimama kwenye nafasi ya mkeo wa sasa - ?
Watakaosimama kwenye nafasi ya ndugu zako ni hawa wafuatao - BISHANGA, MADAMEX, CANTALISA, THE BOSS, HUSNINYO, KING'ASTI, ASHADII, na wengineo.....
Mimi nitasimama kama mtu aliyekushauri uache pombe...........

Hivi kwa Movie hii hatutawapiku kina Kanumba kweli?
 
Back
Top Bottom