Maskini Sophia wangu... Sasa najutia!

Maskini Sophia wangu... Sasa najutia!

mmmh, mnanichanganya kti kati ya machungu.

Nawaza, ningemwoa ningeishi maisha ya amani.

kwa taarifa yenu wote mnaochakachua uzi wa Kongosho nimewafungulia RB(akiwemo Konnie mwenyewe).
 
Nadhani tatizo lako ni kubwa sana,kwa sababu siyo rahisi tena kumpata Sophia kama ameshachukuliwa na Major General.
 
we kongosho wewe si ni jana tu kulikua na uzi umeandikwa kuwa wewe ni ke sasa ijekuwaje umekuwa me ghafla?
 
pole konnie.......

Yule aliyejua jinsia yako thr thread yako nahisi hapa umemmix na kumconfuse....
 
Jamani mambo ya ndoa magumu.... Magumu mno! Hii story... Dah! No comment.
 
Withdraw syndrome huwa inatokea hata baada ya miaka 20 na inakuja kwa uchungu kana kwamba ilitokea jana. Kongosho nakupa pole kwa kuchaguliwa mke ' is the biggest and costful mistake tunaloweza ku commit tukifikiri tunawafurahisha ndugu bila kujua huyo mwezi wako ni wewe utaishi naye liwe jua, au mvua, Kiangazi au Masika. Ndugu zako wanastahili malaumu pia
 
pole kongosho ,hii story sijui ya nani bana sio ww kuna watu wamekula chumvi jamani mwaka 1976 washaanza harakati za malovi dav,
 
Pole sana mzee kongosho,mimi nakuomba uvumilie.
Mimi ni kijana mdogo sana tena sana kwako,ila umenifunza jambo.nazani mzazi wangu atanielewa sina jinsi
 
afwazali we umeelewa, eti mtu anasoma kava ili ajue story.

Watu tumepitia maisha bana.
Na hii ni very true story, imemtikea konnie au kongosho haijalishi.

Lakini, ujumbe umefika.
pole konnie.......

Yule aliyejua jinsia yako thr thread yako nahisi hapa umemmix na kumconfuse....
 
tukikutana samaki samaki, ntakupa details zote.

Its so painful, basi tu nikiweka details hapa kuna mtu atanitoa mafichoni mwa hii ID. Maana anajua huu mkasa fika.

pole kongosho ,hii story sijui ya nani bana sio ww kuna watu wamekula chumvi jamani mwaka 1976 washaanza harakati za malovi dav,
 
asante mvumbuzi, it's a shame nilimwacha Sophy.

Haya mambo ya kujali wazazi, ndugu na jamii wakati mwingine inaumiza kwa maisha yote.

Withdraw syndrome huwa inatokea hata baada ya miaka 20 na inakuja kwa uchungu kana kwamba ilitokea jana. Kongosho nakupa pole kwa kuchaguliwa mke ' is the biggest and costful mistake tunaloweza ku commit tukifikiri tunawafurahisha ndugu bila kujua huyo mwezi wako ni wewe utaishi naye liwe jua, au mvua, Kiangazi au Masika. Ndugu zako wanastahili malaumu pia
 
Back
Top Bottom