Sarah Simbaulanga: Mwanamke wa kwanza kuiba pesa ndefu katika historia ya benki zote nchini

na Kuna ile kesi ya mauaji ya kimapenzi ya ASHA MKWIZU, nani anaikumbuka humu?, nayo ilikuwa hot kweli that time

Kesi ya Sara Martin Simbaulanga aka Khadija Kimbau, ukiingalia kiundani ilikuwa imejaa Mapenzi zaidi ya maendeleo binafsi, ilikuwa inaonekana yule mama alikuwa ameisha kabisa kwa Toroha M Toroha na ndie aliyekuwa mastermind wa ile move yote

Mkwizu alikuwa jasili sana alimuuwa mumewe na kumzika....hata sikumbuki vizuri habari zilikuwa kwenye gazeti la mzalendo yale makubwa. Licha ya kuonekana alikuwa na ugonjwa wa akili mahakama kuu ilimuhukumu kifo.
 
Wengi walichosahau ni the love story behind yule mdada aisee..

ipi mkuu!? Mbona unatoa story nusunusu? Please give us more details, otherwise hiyo thread itakuwa haikidhi viwango vya kuwa hapa jukwaani maana inalipa kundi flani (la wakongwe) fursa ya kujadili huku ikiziba kabisa mianya ya wengine (chipukizi) kuchangia chochote.
 
Nilikuwepo pale kisutu wakati ule dk. Lamwai alipotoa maelezo ya mwisho ya kumtetea mama huyu ambapo mama yake sarah alikuwa amekaa kiti cha mbele na sarah kizimbani. Umahiri wa maelezo ya dk. Lamwai ulikuwa na mvuto wa ajabu,korti ilitulia kimya ajabu.

very touching story,huyu mama walimdaka hapo kenya , na vile vigari viliozea pale central. hakim hakumwonea huruma, tuliokuwepo tulimwonea huruma wote.
 
Hivi huyu mwanamama alimaliza kifungo chake? Mnakumbuka kosa lake na jinsi ambavyo kesi yake ilikuwa ni kama simulizi la kutosadikika.. Hivi akisikia yanayofanyika hivi sasa huko aliko si anaona aliwahi kidogo tu..

Mh Sarah Martin Simbaulanga a.k.a Hadija Ally Simbau, alizichota akatimkia Kenya kabla ya kurejeshwa nchini na kutiwa pingu
 
ipi mkuu!? Mbona unatoa story nusunusu? Please give us more details, otherwise hiyo thread itakuwa haikidhi viwango vya kuwa hapa jukwaani maana inalipa kundi flani (la wakongwe) fursa ya kujadili huku ikiziba kabisa mianya ya wengine (chipukizi) kuchangia chochote.

Acha kulialia mtoto, wewe si "Muzee Zaidi" ?, sasa kama wewe ni mzee mwenzentu si ulitakiwa ujue walau basic ya haya mambo ? unataka nini ? Shanga ?
 
Siku hizi mambo yamebadilika Bongo. Yaani wezi siku ndo tunawaweka kwenye wizara nyeti au ubunge. Watu kama EL, RA na wengineo wanatakiwa kutumia busara zao kuangalia kama bado wana sifa za kuwatumikia wananchi kwenye majimbo yao na kama wanapaswa kulalia vitanda vyao majumbani mwao. Wanatakiwa kuwa Ukonga au Segerea prisons.

Nyerere alikuwa hacheki na wezi wa umma lakini sasa JK na anakula nao hai tebo. What a curse Tanzanians have!!
 
namkumbuka vizuri mzee na story ya wizi wa pesa za NBC. Kama sikosei alijaribu kukimbia akakamatwa na kurudishwa nchini kujibu mashtaka. Lakini leo mambo yalivyobadilika watu wa deals ndio wafadhili wa mambo yote matakatifu yanayoiendesha nchi yetu hasa siasa.

Mzee Mwanakijiji kuna kitu kinanitia moyo....wala sijakata tamaaa! Kumbe lolote lenye mwanzo huwa na mwisho tena hata kama ni mwisho mbaya.Tunisia na Egypt zinadhihirisha wazi kuwa ukweli hauwezi kufukiwa chini ya kapeti hata siku moja maana gharama yake haina namna ikabadilishwa.
 
Nilikuwepo pale kisutu wakati ule dk. Lamwai alipotoa maelezo ya mwisho ya kumtetea mama huyu ambapo mama yake sarah alikuwa amekaa kiti cha mbele na sarah kizimbani. Umahiri wa maelezo ya dk. Lamwai ulikuwa na mvuto wa ajabu,korti ilitulia kimya ajabu.very touching story,huyu mama walimdaka hapo kenya ,na vile vigari viliozea pale central.hakim hakumwonea huruma,tuliokuwepo tulimwonea huruma wote.

....na akaishia kulamba mvua 28! Ingekuwa leo hii angeshinda kesi kiulaini sana, siku hizi ni hatari sana kuiba elf 10,maana hata polisi hufiki, utaishia kupigwa kibiriti na kufa bila hata kufika mbele ya sheria.

Ukifanyiza kama alivyofanya KAGODA utaitwa shujaa na hata watetezi watakugombania, ili tu wote mfaidi na si kwamba pesa irudi ili ikanunue aspirin na eusol hospitali,bali ipotee, kweli uzalendo kwa nnji hii aliondoka nao Mkoloni!
 
Masanilo,

Yule Mrs Mkwizu alimuua hawara wa mumewe, huyo dada alikuwa anaitwa Mwanakhamis Happiness Senzota. Huyo Mr. Mkwizu alikuwa nadhani anafanya kazi Muhimbili.

Gazeti la Mfanyakazi ndio lilikuwa kiboko enzi hizo za Himid Nzowa, Hemed Kimwanga, na Chief Photographer Joseph Senga.

Mnaikumbuka kesi ya polisi dhidi ya Joseph Senga? mnamkumbuka yule polisi alikuwa na tumbo kubwa Isambai Mchomba. Ile kesi ulikuwa huwezi kukosa baba akisoma Mfanyakazi lazima uvizie usome. Nadhani ndo maana sisi vijana wa 80's na 90's ni vichwa sana japo tulisoma Kayumba's school kuliko hawa Academia maana tulikuwa hatuna Kiu wala Face book ni Mfanyakazi, Mzalendo, Kiongozi, Uhuru, RTD tu.

Kulikuwa hakuna ujinga wa Clouds & Co, Ze comedy sijui, na ujinga mwingi wa leo
 
ukishawajua ndio nini:coffee:tujuzeni jamani alikuwa nani na alifanya nini katika historia ya nchi yetu.

Ata mi namshangaa ss km underage ndo hamna right ya kujua maswala ya nchi yetu?acheni superiority complex izo!kha!mi naborekaga!
 
he kweli umetukumbusha mbali na kumbuka lilikuwa tawi la foreign na hapo tu ndipo ungeweza kubadili pesa za kigeni na kupatiwa travellers cheque , baada ya kupewa kibali na IKulu jamani dhamani kulikuwa na kufuatilia mwenendo wa matumizi ya kigeni angalau sio sasa hivi unaenda dukani unaweza ukanunua kiasi chochote cha ola unachotaka ,kulikuwa na taarifa kwamba alikimbilia uingereza sijui kama alikuwa huko au alikamatwa
 
na Kuna ile kesi ya mauaji ya kimapenzi ya ASHA MKWIZU, nani anaikumbuka humu?, nayo ilikuwa hot kweli that time

yeah huyu mama alimuuaga mpenzi wa mume wake na walikuwa wanaishi mitaa ya lugalo pale upanga. alimfanyizia demu wa mumewe kwa kumpasua kichwa halafu kuzika maiti nyuma ya nyumba yao.
 
Back
Top Bottom