MAUMIVU YASIYO KWISHA(ENDLESS PAIN)...!!
.
Sehemu ya kwanza.
.
Mwaka 2016 ilikuwa ni mara yangu ya kwanza kuingia chuoni, ilikua katika chuo cha kimataifa cha Kampala.
Naikumbuka siku yangu ya kwanza nilikua naonekana mnyonge sana, hasa kutokana na ugeni wangu na kila mmoja ndani ya darasa...
Hivi huyu mwanamama alimaliza kifungo chake? Mnakumbuka kosa lake na jinsi ambavyo kesi yake ilikuwa ni kama simulizi la kutosadikika.
Hivi akisikia yanayofanyika hivi sasa huko aliko si anaona aliwahi kidogo tu..
-------------------
BAADHI YA MICHANGO ILIYOTOLEWA NA WADAU
Habari wakuu leo katika utundu wangu nimegundua kwamba meter box ina matumizi mengi sana zaidi ya kutumika katika ulipaji wa umeme.
Naam, Nitawadokeza jinsi ya kutumia meter box kuangalia vitu vingine
Moja ya matumizi ya Meter ni kuangalia tarehe na saa/Mda
Nisiwachoshe ni kama ifuatavyo
Jinsi...
Rais Samia Suluhu Hassan leo ameachia mkeka wa Wakuu wa Wilaya mbalimbali uliosheheni vijana. Baadhi ya Wakuu wa Wilaya wapya ni pamoja na aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dkt. Vincent Mashinji, pia yupo Joshua Nassari na Wakili Albert Msando. Wengine ni Mwenyekiti wa UVCCM Kherry James...
History's 10 greatest entrepreneurs
This list of truly entrepreneurs were able to spot markets and opportunities and trends that no one else sees. Their visions, when realized, have the power to change how people live and think and how society develops.
Source: Special to msnbc.com
By Emmanuel...
SIMULIZI FUPI - CHOZI LA FURAHA
Nilishuka garini nikiwa na furaha,hii baada ya kutoka likizo baada ya miezi sita ya kukaa chuoni.Mtu wa kwanza kumuoana alikuwa ni mama yangu ambaye alikuwa amemshika mkono mdogo wangu ambaye alikuwa darasa la kwanza.Nilimkumbatia mamangu huku nikiwa siamini...
ULINZI WA KIM JONG "KIDUKU".
Kama inavyofahamika dhahiri kuwa ni vigumu kwa mwanga wa mshumaa kudumu katikati ya upepo wa kimbunga unaoangusha maghorofa; vivyo hivyo ni vigumu hata kwa ‘inzi’ mwenye nia ovu kumsogelea Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un.
Huyu ni kiongozi ambaye vyombo vya...
Ninavyo mfahamu Msukuma hufanya yafuatayo;
1- Hapendi makuu ukimchokoza anasema Kaya ya Ng'wobha nayo Kaya ili siku ipite salama.
2- Hapendi Kesi, ukimdhurumu anasema Maguzu Masese ili asipoteze muda wa kufuatilia mambo ya kesi badala yake afanye kazi.
3- Hapendi kuumiza moyo kwa Hasara iliyo...
Wakuu hebu tujaribu kupeana maujanja ya kuwaimbisha watoto mpaka waeleweke make kuna watoto wengine wazinguaje unamfata mpaka mara therathini lakini bado kakaza kamba.
Kwa walio pitia magumu kuwapata watoto mpaka wakalegeza vikwazo tupieni michongo yenu hapa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.