Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,288
inamaana nae anapigwa bomba kama marehemu mzee kawawa au?
jf sasaaaaa!! Duh
inamaana nae anapigwa bomba kama marehemu mzee kawawa au?
yule mmachame siku nyingi kwisa ondoka baada ya mzee kustaafu akaona u 1st lady umekwisha ngoja ajiondokee zake ,radio mbao zinasema alikuwa na hekalu mikocheni ndiko anakoishi hata yule kaka yake brazameni wa pale bungoni ilala nae kapotea baada ya ushemeji kuota mbawa
kuna kaka yake mmoja brazameni wa ukweli alikuwa anaitwa muddy alikuwa anaishi mitaa ya bungoni ilala naye haonekani siku hizi,enzi zile shemeji yupo madarakani jamaa alitikisa sana pande ya jiji la maraha d'salaama siku hizi kimyaaa sijui kunani
1.alifukuza kazi watumishi wengi wa serikali bila sababu ya msingi.
2. Alivunja nyumba za watu maskini ambao hawakumchagua katika uchaguzi wa mwaka 1995. Baadhi walikufa kwa presha.
3.aliwaweka ndani wanachama wa cuf akiwatuhumu kuwa ni mahaini. Alipoenda kuombwa awaachie huru akasema kuwa wale ni watu na si mapapai kama yataoza.
4. Enzi za utawala wake ilikuwa kupigwa virungu na askari ni jambo la kawaida.
nadhani msofe amekuelewa
hii ni mojawapo ya njia za kuwajua wakwale!
tetesi ile ilikuwa changudoa - watu nao bwana!! - Raza anasemaje huko aliko. pole komandoo
UKIONA MANYOYA UJUE KALIWA!iKuna kaka yake mmoja brazameni wa ukweli alikuwa anaitwa Muddy alikuwa anaishi mitaa ya Bungoni Ilala naye haonekani siku hizi,enzi zile shemeji yupo madarakani jamaa alitikisa sana pande ya jiji la maraha D'salaama siku hizi kimyaaa sijui kunani
tetesi ile ilikuwa changudoa - watu nao bwana!! - Raza anasemaje huko aliko. pole komandoo
jf sasaaaaa!! Duh
madhila aliyowafanyia wananchi wenzake wa Zanzibar analipa hapa duniani! huyu jamaa kwa ushirikiano na Ghalib Bilal waliongoza moja ya serikali katili ktk historia ya Zanzibar. CCM ni wasahulifu sana, mtu kama Bilal hakutakiwa kupewa uongozi wowote ktk JMT kutokana na vitendo vya kihuni,kibabe na kijambazi ambavyo waliwafanyia wapinzani wao wa kisiasa huko Zanzibar.Komandoo sasa yamemkuta, hizo zote ni laana za mungu kwa kufuru zake.
Huyu mtu naskia baada ya kuingia madarakani alisema ndo mwisho wa kushika tasbihi. Aliwavunjia watu wengi nyumba zao. Aliwatukana wapemba kwa kuwaita mbwa (alitumiwa kueneza chuki iyo), matokeo yake wazee wamekaa chini, wakapiga sala wakamuomba mungu awalipie hapahapa duniani, matokeo yake ndo yule pale atembea na vigongo na haoni huku wife wake Salma akiwa amemkimbia! Karume na yeye ili kumkomesha akamkatia umeme lakini msela wake gadafi akamletea generator! Yani karume amempokonya almost everything!! Wat goes around comes back around!
Mimi simpi pongezi hata moja komandoo huyu, alikua wakulaaniwa tu, ila saivi ni kumuachia mola tena!
hajutii mabaya aliyotenda ndiyo maana hajawahi omba msamaha kwa wananchi waliotaabika wakati wa utawala wake.Mungu haripi mbali kubwa tumuombee kwn nadhni na yeye anajuta alivyo tenda alitumia wakati na madaraka vibaya pole amour nilisoma na mwanaye
madhila aliyowafanyia wananchi wenzake wa Zanzibar analipa hapa duniani! huyu jamaa kwa ushirikiano na Ghalib Bilal waliongoza moja ya serikali katili ktk historia ya Zanzibar. CCM ni wasahulifu sana, mtu kama Bilal hakutakiwa kupewa uongozi wowote ktk JMT kutokana na vitendo vya kihuni,kibabe na kijambazi ambavyo waliwafanyia wapinzani wao wa kisiasa huko Zanzibar.