ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,650
Waje kwenu?! Wapi?! Kwa David Cameron?!, hii sentesi yako inaweza ikapindisha mada, tafadhari inyooshe vizuri.
wala usihangaike kujiuliza sana mkuu. Udini umetamalaki ktk post hii
Waje kwenu?! Wapi?! Kwa David Cameron?!, hii sentesi yako inaweza ikapindisha mada, tafadhari inyooshe vizuri.
Ndo ya Mungu hayo. Amekuwa na matatizo ya macho tangu mara baada ya kutoka madarakani. Lakini afadhali ya salmin, mi namsikitikia Mzee Aboud Jumbe
nahisi ujio wa wake wengi hii ni matatizo tena hujui nani kakupuulizia aisee oeni hata kamoja jamani mkishindwa njooni kwetu
mwanangu usifike huko mpwa
yaani mkewe aliwekwa ndani na kijana mmoja aisee kama mamayake mzazi naamini hayupo nae tena aisee
Huyu Mzee wana hana hali... kinachoskikitisha zaidi ni kuwa serikali haitaki kumsamehe na kumsaidia. Ameanza kuugua miaka mingi sana na yuko pale kigamboni kama mwana mpweke, yaani familia yake imeachwa imhudumie yenyewe kana kwamba hakuwa kiongozi wa kitaifa. na hali ya afya yake ni mbaya sanakunani hali ya A. Jumbe mkuu!
UNAMMAANISHA SALMA?? HUYU MAMA NAYE KWAO WANAKUFA NDUGU ZAKE KARIBU WOTE WAMEKUFA SIJUI NI NINI? HAPA KWAO PAMEBAK HOUSEGIRL TU , PAMECHAKAA HUWEZI AMINI KM NI NYUMBANI KWA MKE WA RAIS, ngoja niache umbea
Huyu Mzee wana hana hali... kinachoskikitisha zaidi ni kuwa serikali haitaki kumsamehe na kumsaidia. Ameanza kuugua miaka mingi sana na yuko pale kigamboni kama mwana mpweke, yaani familia yake imeachwa imhudumie yenyewe kana kwamba hakuwa kiongozi wa kitaifa. na hali ya afya yake ni mbaya sana
Huyu Mzee wana hana hali... kinachoskikitisha zaidi ni kuwa serikali haitaki kumsamehe na kumsaidia. Ameanza kuugua miaka mingi sana na yuko pale kigamboni kama mwana mpweke, yaani familia yake imeachwa imhudumie yenyewe kana kwamba hakuwa kiongozi wa kitaifa. na hali ya afya yake ni mbaya sana
Huyu Mzee wana hana hali... kinachoskikitisha zaidi ni kuwa serikali haitaki kumsamehe na kumsaidia. Ameanza kuugua miaka mingi sana na yuko pale kigamboni kama mwana mpweke, yaani familia yake imeachwa imhudumie yenyewe kana kwamba hakuwa kiongozi wa kitaifa. na hali ya afya yake ni mbaya sana
mwanangu usifike huko mpwa
yaani mkewe aliwekwa ndani na kijana mmoja aisee kama mamayake mzazi naamini hayupo nae tena aisee
UNAMMAANISHA SALMA?? HUYU MAMA NAYE KWAO WANAKUFA NDUGU ZAKE KARIBU WOTE WAMEKUFA SIJUI NI NINI? HAPA KWAO PAMEBAK HOUSEGIRL TU , PAMECHAKAA HUWEZI AMINI KM NI NYUMBANI KWA MKE WA RAIS, ngoja niache umbea
Jamani wapendwa
nimemwona mh wetu rais wa zamani wa zanzibar mh salmini amour
akiwa anaongozwa na kifimbo hakika nikahuzunika sana sana
nilipouliza jamani kuna nini ndipo nikajuzwa maskini haoni amekuwa hivyo muda kidogo
mwisho namtakia heri hata akishindwa kuona vingine basi vya kitandani aone
kila lal kheri baba
Salma Salmini alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na mtu anaehusishwa na Muamar Gadaffi, kama si yeye mwenyewe ni mwanawe, na alianzia tangu wakiwa madarakani manake Kamandoo alikuwa rafiki wa Gadaffi au japo alikuwa anajipendekeza sana kwake.Huyo ndo komando,mke wake alikuwa bomba kweli,sijui kwa nini waliachana
KWENYE KIZAZI CHA HUYU MAMA KUNA KITU AISEE si bure.
pole sana komandoo! Nakumbuka sana ulivyotamani kubadili katiba ili urudi tena katika mjengo!