Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,488
- 92,901
Lowasa ndiye aliyewasadia kwa umaskini wao angalau waambulie kupeleka watoto wao shule za kata, nadhani hili ndio kosa lake kubwa angeiacha tu hii mitoto ya Malofa ikimaliza Primary school waje kutukaba mitaani!!Ndo maana hii nchi haiendelei, watu tumejaa wivu tuuu! Kila siku Lowasa Lowasa, utafikiri yeye ndo chanzo cha umaskini wao, wazazi wenu walikuwa maskini kabla hata Lowasa hajawa Waziri!!