TEMILUGODA
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,389
- 285
nimegundua kwamba humu jf maskini ndio wanaongoza kumchukia lowassa
wanalaumu kwamba yeye ndio aliyefanya maisha yao yawe magumu kitu ambacho sio kweli
watu ambao wanafaa
kuwachukia ni wazazi wao waliowa rithisha umasikini wazazi wao walikuwa wazembe wakati wazazi wa wenzao walipokuwa wanatafuta maisha bora
kazeni acheni lawana za kitoto
Mwanaharamu na mmbea mkubwa wewe! Huna ubavu wa kutukana na kukebehi mzaza wa mwenzio.Ninyi matajiri sasa mnataka kutununua maskini na haki zetu,maana hii imethibitishwa tjwa PM wetu jinsi anavyokumbatia wakubwa.