nyerere pia alikuwa na wivu wa kijinga muda mwingine
Lowassa amekuwa PM haifiki hata miaka 3. Amepiga deals zake kama ambavyo watangulizi wake walivyofanya. Kilichomsibu ni pale alipoamua kuwajibika, kumbe kizazi cha leo hatuhitaji watendaji kuwajibika. Hebu tuwatazame akina Nkapa, mama Nkapa, Sumaye, Msuya na mawaziri wa enzi hizo akina Mramba, Yona, Simba, Diallo etc. Kinachomsibu huyu ni kuwajibika kwake tu.
Yanitatiza sana kuamini kama kweli EL ndie amesababisha hali ya maisha kwa watanzania kuwa ngumu kiasi hiki, NOP.
Sitta na Genge lao la wahuni lisipong'olewa nchi itaelekea pabaya, wanautaka uraisi kwa gharama yoyote na mtu pekee wanaemuona kikwazo ni EL, wamekuja na agenda ya SUMU, kama kweli Mwakyembe kapewa sumu si watoke hadharani na vyeti vinavyoonekana kapewa sumu! I hate Propaganda!
nimegundua kwamba humu jf maskini ndio wanaongoza kumchukia lowassa
wanalaumu kwamba yeye ndio aliyefanya maisha yao yawe magumu kitu ambacho sio kweli
watu ambao wanafaa
kuwachukia ni wazazi wao waliowa rithisha umasikini wazazi wao walikuwa wazembe wakati wazazi wa wenzao walipokuwa wanatafuta maisha bora
kazeni acheni lawana za kitoto
kama huna data usibwabwaje tuu!!
huyu ni MWIZI wa mali za umma na ndo maAna alilaaniwa na nyerere!
Hivi Nyerere alikufa kwa ugonjwa gani vile!!??we unazo ? Acha kujidanganya wewe . Kwani nyerere ni Mungu ? Nyerere hakuwa na makosa ? Unajua nani kalifikisha hili taifa hapa au unaongea utumbo tu ?
we unazo ? Acha kujidanganya wewe . Kwani nyerere ni Mungu ? Nyerere hakuwa na makosa ? Unajua nani kalifikisha hili taifa hapa au unaongea utumbo tu ?