Kiboko Yenu
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 311
- 65
- Thread starter
- #21
mbona mimi namchukia lowasa lakini ni billionea?
bilionea jina sawa
mbona mimi namchukia lowasa lakini ni billionea?
Lowasa anahusika sana
we unahitaji maombi
Asante kwa kuliona hilo .
Mnduku we.
Mwanangu hii post , sijui kama inafanana na umri wako au Elimu yako.
Wapumbavu utawajua kwa ujuha wao, Sisi walalahoi hatumchukii Lowassa na wapumbavu wengine, tunachokichukia ni kutumia Mali zetu za Umma kwa manufaa yao na familia yao. I hate any mpumbavu anayeiba mali zetu za umma kwa manufaa yake. Kwa hiyo kama baba yako alikujengea maisha kwa mtindo wa Lowassa basi hatuna budi nasi walalahoi kukuchukia hata wewe. Mpumbafu kubwa weye, ufisadi mnaotuibia mali zetu ndio umeona ujanja sio?
Sio masikini, sema MAFUKARA. Lol
Ila ngojea matusi kutoka kwao.......
lowasa anafanana na kiti moto.
Maku kweli wewe,. Mi nina uwezo na simpendi huyo basha'ako lowasa
Mtu anapopata hela ya wizi utamjua kwa majigambo ,matusi na dharau,wakati Yule anayeipata kwa jasho busara na hekima utaiona.nimegundua kwamba humu jf maskini ndio wanaongoza kumchukia lowassa
wanalaumu kwamba yeye ndio aliyefanya maisha yao yawe magumu kitu ambacho sio kweli
watu ambao wanafaa
kuwachukia ni wazazi wao waliowa rithisha umasikini wazazi wao walikuwa wazembe wakati wazazi wa wenzao walipokuwa wanatafuta maisha bora
kazeni acheni lawana za kitoto
Wewe kama si magamba basi mmasai
Akina Sitta na genge lao wamepanda mbegu mbaya sana ya chuki na uhasama. Kadri siku zinavyo songa mbele hata wananchi ambao wamepata utajiri kwa njia halali wataanza kuambiwa ni wezi na mafisadi! Tusipende kushabikia sera za chuki. Kilele cha hii chuki kitakapofika watu masikini hawatajiuliza mara mbili kama wewe umepata mali kwa njia halali ama la. Watajiuliza baada ya madhara makubwa kufanyika.
Ndio Rais wa Tanzania...Sorry for asking, who is lowassa?