Eversmilin Gal
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 778
- 269
katika makala ya millard ayo jana rafiki yake kanumba mkubwa ambaye pia ni docta wa kanumba ameeleza kwamba kanumba alimpiga sana lulu hata alikua na alama sema ndiyo bahati mbaya alipomuachilia na yeye akateleza akaanguka ,kitu kingine lulu mpaka anakamatwa alikua hajui kama kanumba amekufa au la