Masikini Manji, kabanwa kila kona!

Masikini Manji, kabanwa kila kona!

Laiti mnepata nafasi ya kufanya kazi kwa wahindi mngeona jinsi walivyowanyanyasaji kwa ngozi nyeusi. Me natamani waende na WIPAHS kibaha wakawaonyeshe.
 
Hao watumishi wanaoteseka ni watanzania wenzetu na familia zao wakati Manji hawezi lala na njaa. Tunahitaji kupimwa akili zetu hizi za chuki
Laiti ungeona jinsi wahindi wanavyotubebesha mirundo ya kazi ndipo tulipwe mishahara midogo usingeinua mdomo. Kwanza wanakwepa sana kulipa kodi Hawa na Hata stahiki zetu za pensheni zinakatwa kidogo kutokana na kulipwa marambili mishahara kwa mwezi.
 
Sitaki kuamini kama haya ni kweli lakini ikiwa ni ukweli Manji anaandamwa namna hii basi kuna siri kubwa ambayo sisi hatuijuwi.

Kuna mengi ya kujifunza kwa upande wa Manji, halafu tafuta video ya raisi JPM akizungumza na wafanyabiashara tarehe 4 December 2015 kuanzia dakika ya 36.

Hapo utapata picha halisi, maana jamaa kuna maneno alimwambia mkulu alipokuwa waziri wa ujenzi kwa na kwa kweli yalikuwa hayakuangia mwisho wa safari.

Halafu kuna makala kadhaa za gazeti lake la Jambo Leo ambazo kwa kweli unaweza sema zinamharibia sana.

Kuna watu wamekazana kusema serikali ya awamu ya tano inaendeleza chuki na visasi lakini kwa Manji na watu wengine wa aina yake sioni kabisa chuki na visasi dhidi yake.
 
Hao watumishi wanaoteseka ni watanzania wenzetu na familia zao wakati Manji hawezi lala na njaa. Tunahitaji kupimwa akili zetu hizi za chuki
Umeandika kitu cha maana lakini naona una shida moja ya kutofungua fahamu zako vizuri, hebu isome comment yako vizuri na kuitafakari
 
Hata Kama sio kazi halal?
Kuuza ngada hzo blahblah kwa manji,ana makampuni ya quality group ana makampuni Kenya hadi marekani aliyoaacha baba yake
Na yeye akayaendeleza,
Kazi gani ambayo si halali unaijua wee

Ova
 
Huwezi mtu ukifurahiaa mtu kusimamishwa biashara zake wakati mtu hyo hyo kaajiri maelfu ya watu

Ova
Tazama maelfu walioajiriwa na ulinganishe na maelfu ya wala ngada, pengine kupitia kwake,
 
Important Message From Quality
qc.jpg
Group CEO

09:13 24 February in News by QGL
Dear Colleagues

As a valued stake holder in Quality Group, you may be aware of the recent media reports involving Quality Group Limited and the previous Chairman, Mr Yusuf Manji. Whilst the fact that these matters are the subject of ongoing legal action limits the information I can share with you, I can confirm that the Authorities have made various allegations against Mr Manji and Quality Group Limited. I can also confirm that the Quality Group and Mr Manji are in the process of vigorously defending these allegations and our legal counsel expects to resolve them shortly.

Quality Group Limited continues to operate across all its business lines and the current actions taken by the Authorities have not impacted on our day to day operations or on our ability to service our customers and suppliers. Quality Group Limited has the depth of management in place to deal appropriately with the current challenges. We value our hard won relationships with our suppliers, customers and other stakeholders and maintaining those relationships continues to be our focus and passion.

Quality Group Limited remains committed to our mission to be a reputed and respected leader across various business sectors in Tanzania, maintaining the highest standards of Professionalism, Ethics, Quality and Customer Service.

Sincerely,

N Ralph
Group CEO
Quality Group Limited
 
Hao watumishi wanaoteseka ni watanzania wenzetu na familia zao wakati Manji hawezi lala na njaa. Tunahitaji kupimwa akili zetu hizi za chuki
Unajua sababu zozote za kufungiwa account zake? Nafikiri tukisema kila kitu sawa sababu anaajiri Wa Tanzania ni makosa. Quality Centre na deni analodaiwa ni mfano unaojitosheleza
 
Hao watumishi wanaoteseka ni watanzania wenzetu na familia zao wakati Manji hawezi lala na njaa. Tunahitaji kupimwa akili zetu hizi za chuki
Hakuna sehemu yoyote inayoonyesha chuki katika uzi huu ila wewe tu umemlisha maneno mkuu, acha hofu, mashaka na ushabiki wa Simba yanga.
 
Back
Top Bottom