Wauza ngada utawajua tuUnafurahia?!! Ww umenufaika vp na Hali ya kumdhoofisha Manji?
Au hapo mwanzo uliathirika na nn wakat biashara za Manji zinashamiri?
Acheni wivu wa kimaskini
Angalia ndugu usijekuta jamaa yako ni mfanyakazi huko halafu akija kukupiga virungu usiruke kimangaSaaaaafi na mbado
Watanzania wenzetu wanaotumika kumdhalisha mtanzania mwenzetu kwasababu ya gabachor ?Hao watumishi wanaoteseka ni watanzania wenzetu na familia zao wakati Manji hawezi lala na njaa. Tunahitaji kupimwa akili zetu hizi za chuki
Hii ni lugha ya kibaguzi na haifai kabisa!Watanzania wenzetu wanaotumika kumdhalisha mtanzania mwenzetu kwasababu ya gabachor ?
Kwa Hio kushangiliwa ndio kungeondoa kipigo kwa MatejaHata jana mpirani hakuja, inasemekana uhamiaji walikuwa na mazungumzo naye, Sijui walihofia angeshangiliwa sana na washabiki wa Yanga?
Mbona wao wanawaita watu weusi Majina ya ajabu, tena ndio walimu wa ubaguzi - Amkeni nyie mazombie kuzimu ishawekwa bondi ( Kwa sauti ya Nay Wa Mitego )Hii ni lugha ya kibaguzi na haifai kabisa!
wewe ni mpuuzi tu..hivi unajua kuna nduguyo ni muajiriwa direct or indirect na ameathirika? watu wengine wivu unawazidiSaaaaafi na mbado