mjombaa5576
Member
- Feb 15, 2017
- 14
- 1
Nice commentAliposema matajiri wataishi kama mashetani, wakapiga makofi na vigelegele!
...walidhani maskini wataishi kama malaika..!?!!
Nice commentAliposema matajiri wataishi kama mashetani, wakapiga makofi na vigelegele!
...walidhani maskini wataishi kama malaika..!?!!
Kawaulize maccm wenzakotuambiwe kwa nini Gazeti la Jambo Leo limesitishwa kuchapishwa?
Mkuu bado sijajua zaidi ya kuhisi kuwa ni kwa lumumba mwenzaoUnajua kwann yule nani wa dar kutwa kwendaa clouds redio?
Ova
Huu sio mpira wa Simba Na yanga mkuuSaaaaafi na mbado
Subiri Kesi iishe na maamuzi kupatikanaKuuza ngada hzo blahblah kwa manji,ana makampuni ya quality group ana makampuni Kenya hadi marekani aliyoaacha baba yake
Na yeye akayaendeleza,
Kazi gani ambayo si halali unaijua wee
Ova
Sijasema wameisha hata yeye atakamatwa tu tunafuata taratibu kidogoMbn riz kutwa anatajwa khusika na biashara hyo na hawajamuita kumhoji....unajua kwann
Ova
Samahan sana mama manji sikujua kama natkutenya upeleAcheni kulopoka vitu usivyovijua
Ova
hahahahahahahaNa hicho kitu kimejificha mbele ya chuki!! Chuki imejificha nyuma ya hicho kitu!
Wewe utakuwa ni mhamiaji haramu
Kiswahili ni sheeeedaaaa
Saaaaafi na mbado
what is this?- Akaunti zake zote zimefungwa
- Mchapishaji wa Magazeti JAMANA PRINTERS kapigwa marufuku kuchapa gazeti la Jambo Leo. Gazeti halijaingia mtaani siku ya nne sasa.
- Watumishi wamekosa mishahara, waandishi wanahaha.
Kwa ujumla Quality Group ni kama imesimamisha shughuli zake
Chanzo: Watumishi wa QG
kakwambia nani?Mali Na fedha alizonazo haiviendani Na mapato yake
Bila shaka akaunti zake zilizofungwa ni zile za Facebook, instagram, whatsaap na Skype.
ntumie no yako nkupe hata vocha tuu..umeandika vema sanaYawezekana akawa mhindi kwa rangi na kabila lakini kwa uzalendo wewe ukawa ni wale ambao hata hujaweza saidia hata mama au mdogo wako. Huwezi kuwa mbaguzi halafu ukadai haki toka kwa watu wengine. Jitambue kwanza ndo uanze kuchunguza na kukosoa wengine. Wewe hujitambui au inawezekana ramani yako inaishia hapo ulipo hujavuka mpaka hata wa kijiji.