Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Kwa jibu la swali hili huwezi kuwaonaNgoja membre stroke&mwasiti moja waje watupe Jibu
Ova
Kwa jibu la swali hili huwezi kuwaonaNgoja membre stroke&mwasiti moja waje watupe Jibu
Ova
Kafanyaje tena huyo mkuu au naye alikuwa mpiga zumali kwa jamaa wa lindi?Zakaria Hans pope ajiangalie sana
Saaaaafi na mbado
Malumumba hayalitambui hiloHapo mkuu...kuna watu hawajui multiplier effect ..inakuaje mtu ashingilie mwingine anapoumia kiuchumi, ni kutokujua kuwa aliyenacho akiingiza hela kwenye mzunguko zinakuokoa hata wa kipato cha chini.
Wewe huna lolote ujuwalo zaidi ya upiga zumaliKwahiyo aachwe afanye makosa kwa sab ameajiri watanzania? Kwani ujambazi sia ajira? Mashamba ya bangi hayaajiri watu? Kazi zingine zisizohalali haziajiri watanzania?
chanzo cha uhakika ulitaka kiweje?Chanzo si cha uhakika
Acheni kulopoka vitu usivyovijuaTazama maelfu walioajiriwa na ulinganishe na maelfu ya wala ngada, pengine kupitia kwake,
Wewe utakuwa ni mhamiaji haramuKuwa ccm na kuwa kada wa chama sio mwamvuri au pango la walanguzi.....ccm sasa ni chama cha wasafi.....kesi yake ikiisha akahamie Chadema....mana ndo mtaro wa kupokea waliopitiliza kwenye chujio la chama.
Kama tulivyowacha kuisikiliza tbc na mawinguHao wana cuf wa DW watasababisha tuache kuwasikiliza katika local radio
tuambiwe kwa nini Gazeti la Jambo Leo limesitishwa kuchapishwa?Important Message From Quality View attachment 474816 Group CEO
09:13 24 February in News by QGL
Dear Colleagues
As a valued stake holder in Quality Group, you may be aware of the recent media reports involving Quality Group Limited and the previous Chairman, Mr Yusuf Manji. Whilst the fact that these matters are the subject of ongoing legal action limits the information I can share with you, I can confirm that the Authorities have made various allegations against Mr Manji and Quality Group Limited. I can also confirm that the Quality Group and Mr Manji are in the process of vigorously defending these allegations and our legal counsel expects to resolve them shortly.
Quality Group Limited continues to operate across all its business lines and the current actions taken by the Authorities have not impacted on our day to day operations or on our ability to service our customers and suppliers. Quality Group Limited has the depth of management in place to deal appropriately with the current challenges. We value our hard won relationships with our suppliers, customers and other stakeholders and maintaining those relationships continues to be our focus and passion.
Quality Group Limited remains committed to our mission to be a reputed and respected leader across various business sectors in Tanzania, maintaining the highest standards of Professionalism, Ethics, Quality and Customer Service.
Sincerely,
N Ralph
Group CEO
Quality Group Limited
Nani Daudi?Makonda ni binadamu na ana matatizo yake - CHADEMA pia ina biff na Makonda tangu enzi za bunge la katiba. Kosa kubwa wanalofanya ni kujaribu kupambana na Makonda anapokuwa amewabana - Mfano kuleta hili suala la vyeti vya Makonda kwa sasa haliwezi kufanikiwa kwasababu hata Magufuli mwenyewe atajua ni mapigo tu na hujuma za watu waliotajwa kwenye orodha ya watumiaji wa madawa na atalipuuza suala hilo hata kama ni kweli - Poor timing
Mbn riz kutwa anatajwa khusika na biashara hyo na hawajamuita kumhoji....unajua kwannTazama maelfu walioajiriwa na ulinganishe na maelfu ya wala ngada, pengine kupitia kwake,
Na hicho kitu kimejificha mbele ya chuki!! Chuki imejificha nyuma ya hicho kitu!Kuna kitu hapa kimejificha.
Unajua kwann yule nani wa dar kutwa kwendaa clouds redio?Kama tulivyowacha kuisikiliza tbc na mawingu
tuambiwe kwa nini Gazeti la Jambo Leo limesitishwa kuchapishwa?