Masikini kaka huyu


Yes, ila anahitaji nguvu za mungu, ukifikiria kibinadamu ngumu sana, nimejaribu kuvaa viatu vyake dah!! Only God can save his life
 
Miss chagga hiyo situation ishawahi kunikuta, cha muhimu mwambie kakako arudi kanisani walikofunga ndoa, ila kiufupi hiyo ndoa itavunjwa kanisani maana ndoa ni tendo la kukutana kimwili, bila tendo hakuna ndoa
 
Miss chagga hiyo situation ishawahi kunikuta, cha muhimu mwambie kakako arudi kanisani walikofunga ndoa, ila kiufupi hiyo ndoa itavunjwa kanisani maana ndoa ni tendo la kukutana kimwili, bila tendo hakuna ndoa
asante mkuu
 
Hivi kuna ushirika gani kati ya nuru na giza ni kama kuchanganya chuma na udongo kamwe havishikamani hilo nalo dhambi inamuotea mlango itakuwa kila atakapofungua mlango ataikuta sasa ni swala kufa au kupona au uzima au mauti chagua mwenyewe.
 
yeye anasema anataka haki yake ya ndoa swala la VVU anasema ataponywa na Mungu hata dawa hanywi .. ujue hapa hata mtoto tumboni anamtesa kile kiumbe na kinaweza kufa hanywi dawa kula hataki vizuri ngono ndiyo anataka

Unanifuraisha, eti hataki kula dawa wala chakula anataka ngono, huyo anateswa na psychology tu
 
Mi nadhani afuate ushauri alopewa na wataalamu huko walikoenda kupima coz anaeza kumwacha still yule mwanamke akaishi miaka mingi zaidi yake maybe kaka akapata ajali kesho keshokutwa au hata mwakani akafa na akamwacha mdada.lkn km huyo dada ataendelea kun'gania ku doo bila ndomu basi hakuna jinsi huyo ni muuaji
 

mmmmhhh we jamaa una moyo!!!
 
Unanifuraisha, eti hataki kula dawa wala chakula anataka ngono, huyo anateswa na psychology tu
hata mimi naona hivyo na anahisi jamaa asipo ukwaa possibility ya kuachwa ni kubwa mno.. so nahisi anawashauri wabaya
 
hao wanandoa waendelee tu kuishi pamoja, wawe wanatumia kinga.
Lakini wakitaka kupata mtoto tena waende hospitali kwanza wakapewe mbinu. Kuna njia za kupata mtoto bila kuambukizana wala kumuambukiza mtoto.
ninachosema ni ukweli wala sijatunga.
 
kingine unajua mambo ya wanawake kuendeshwa na hisia .. ataanza kuhisi jamaa anachepuka akichelewa ugomvi, akikosolewa ugomvi kuishi naye yataka moyo hasa kama mume na mke... mi sielewi kwa nini atake ngono kwa nguvu
huyoo rafiki ni ndugu yakoooo auu naniliuu!!!!!!!!!! maana naona imekugusa mnoo!!!
 
Ndoa za kikristo unajua tena wif hataki kusikia wala kuelewa

Kwani ndoa ninyororo unaokufunga akili za kuamua? Ndoa ya zote ni lazima wahusika wawe HIV negative(s),sasa kama walifunga ndoa maana yake walipimwa na kukutwa wako salama, kama ni hivyo huwa mwanamke ilikuwaje awe HIV positive kama sio zinaa? Je ukristo unasemaje kuhusu zinaa?
 
Si ndo maana mimi nimegoma kutafuta mchumba ndan ya makanisa ya kilokole,maana wanawake wengi walioko kule ni wale waliostaafu ukahaba,waliostaafu kuua kwa kutoa mimba...awashirikishe washenga na wazee
 
yeye anasema anataka haki yake ya ndoa swala la VVU anasema ataponywa na Mungu hata dawa hanywi .. ujue hapa hata mtoto tumboni anamtesa kile kiumbe na kinaweza kufa hanywi dawa kula hataki vizuri ngono ndiyo anataka
hahahaaa anawashwa sana haponi mpaka akunwekunwe hahaaaa.. hakuna kula wala kunywa mpaka kieleweke hapo.
 
Duuhh kazi kweli kweli, wakati mwingine mimi Huwa naamini hakuna ulevi mbaya kama DINI (mnisamehe kwa hili). Maana humwondolea mtu uwezo wa kufikiri kwa mantiki. Kwa hali ilivyo bora waachane (japo wengine huamini alichokiunganisha Mungu.....)
 

akatafte mchepuko tu hakuna jinsi hapo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…