comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 8,269
- 16,652
Kichwani Kuna maviYaani kila siku nasema gape la maskini na tajiri hapa tanzania ni kubwa sana.
Hapo wanaoshangilia ni watu wazima kabisa na wana familia zao kabisa ila.kichwani sijui wana mavi.
Kutwa kupiga piga makofi kama wangese
Ngozi NYEUSI imelaaniwaJuzijuzi pia walishangilia wachimbaji madini kunyimwa ruzuku kisa Ile harusi ya katoro.
Nlishangaa sana wanampongeza Samia.
Mungu aniepushie hiyo roho
Maskini mda wote wanakuwa na hasira na wivu kwa tajiri.Maskini wakishangilia TAJIRI John Tilisho kupigwa pingu mbele ya kadamnasi kama mwizi wa kuku stend ya mbezi magufuli.
Ndio mana matajiri wengi wanakua na roho mbaya, maana wanajua automatically maskini wengi wanawachukia.
Ila huu ukamataji 🙌🙌
Mimavi mingi sana aiseeeeeKichwani Kuna mavi
Kuna Ile feeling mtu anatamani muwe sawa ndipo anajiskia faraja.Ngozi NYEUSI imelaaniwa
Hapa Kuna majitu mazima yana familia yanashangilia balaaKuna Ile feeling mtu anatamani muwe sawa ndipo anajiskia faraja.
Badala ya kujifunza Kwa aliefanikiwa nae afanikiwe.anatamani ashuke.
Hata kwenye familia na koo haya yapo
Ruzuku ya wachimbaji madini kwenye nini hasa ?Juzijuzi pia walishangilia wachimbaji madini kunyimwa ruzuku kisa Ile harusi ya katoro.
Nlishangaa sana wanampongeza Samia.
Mungu aniepushie hiyo roho
Ni huzuniHapa Kuna majitu mazima yana familia yanashangilia balaa
Hata aliyewanyima nae hakua sahihi,amechanganya masuala binafsi dhidi ya maslahi ya UMMA ambao ndio wengiJuzijuzi pia walishangilia wachimbaji madini kunyimwa ruzuku kisa Ile harusi ya katoro.
Nlishangaa sana wanampongeza Samia.
Mungu aniepushie hiyo roho
Kama tuu yule marehemu Rais wa wanyonge 😂😂Maskini wakishangilia TAJIRI John Tilisho kupigwa pingu mbele ya kadamnasi kama mwizi wa kuku stend ya mbezi magufuli.
Ndio mana matajiri wengi wanakua na roho mbaya, maana wanajua automatically maskini wengi wanawachukia.
Ila huu ukamataji 🙌🙌
AlifanyajeKama tuu yule marehemu Rais wa wanyonge 😂😂