ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 54,726
- 127,672
Mafichoni..Kwahiyo unataka wapi😂
Mafichoni..Kwahiyo unataka wapi😂
SawasawaMafichoni..
Wote ni kifulambutehivi hawa maskini wenye roho mbaya wako wapi? maana humu wanasemwa hao maskini kama vile watu wote humu mna maisha makubwa kama tirisho
humu 90% tuna maisha magumu mnooo sema kidogo tumepita fm 4 ndo maana kelele nyingi kumbe na sisi n wale wale
🤣🤣🤣🤣🤣Maskini mnapenda sana kujifariji
Yes,Maskini wakishangilia TAJIRI John Tilisho kupigwa pingu mbele ya kadamnasi kama mwizi wa kuku stend ya mbezi magufuli.
Ndio mana matajiri wengi wanakua na roho mbaya, maana wanajua automatically maskini wengi wanawachukia.
Ila huu ukamataji 🙌🙌