Masikini anatamani kila mtu awe masikini

Masikini anatamani kila mtu awe masikini

hivi hawa maskini wenye roho mbaya wako wapi? maana humu wanasemwa hao maskini kama vile watu wote humu mna maisha makubwa kama tirisho

humu 90% tuna maisha magumu mnooo sema kidogo tumepita fm 4 ndo maana kelele nyingi kumbe na sisi n wale wale
Ha ha ha unakuta masikini anakomaa kusema masikini wana roho mbaya! Oops hapa JF masikini ni mimi na wewe tu.
 
Wivu na Chuki ni Jambo la asili la binadamu wote uwe Masikini au tajiri


Hao wanaoshangiliwa sio kuwa ni kwa sababu ni Masikini ila ni wajinga ila kitu ambacho ujue hata matajiri wao kwa wao wanachukiana na kufanyiana fitina kubwa ktk biashara

Wizi ,utapeli kuhujumiana n.k

Na in deep down ukifatilia mpaka huyo jamaa anapingwa pingu ni hao hao matajiri wenzake wamemchoma ili kumdhoofisha kibiashara n.k
 
Wivu na Chuki ni Jambo la asili la binadamu wote uwe Masikini au tajiri


Hao wanaoshangiliwa sio kuwa ni kwa sababu ni Masikini ila ni wajinga ila kitu ambacho ujue hata matajiri wao kwa wao wanachukiana na kufanyiana fitina kubwa ktk biashara

Wizi ,utapeli kuhujumiana n.k

Na in deep down ukifatilia mpaka huyo jamaa anapingwa pingu ni hao hao matajiri wenzake wamemchoma ili kumdhoofisha kibiashara n.k
Kwishaa.....
 
Sheria imefuatwa sawa
Lakini kwanini katika hekaheka kama hizo za kutafuta riziki mwanaume mwenzio anapata changamoto we unashangilia?

Kama una ielewa wa Maisha na struggle tunazopitia unaweza kaa kupiga makofi mwenzio akijikwaa?
Kama sio roho ya umaskini ni Nini?

Je umefatilia kujua hiyo issue kiundani

Hizo ni vita za kibiashara Kati ya matajiri na matajiri zikiwa na interest za wanasiasa ndani

Unaposema Masikini Wana roho mbaya je matajiri ndo Wana roho nzuri .?


Wivu, Chuki , negativity , roho mbaya n.k

Haya mambo hayana tajiri wala Masikini wapo Matajiri Wana roho mbaya na wapo wapo Masikini Wana roho mbaya na vise versa yake .
 
Mimi ni masikini ila siwezi shangilia tajiri akidhalilishwa namna hiyo sio masikini wote wapo hivyo hizo ni roho mbaya tu za waja hata awe tajiri bado atashangilia
 
Ndivyo ilivyo, hivyo usitake kubadili asili kwa kuisema, bali uapaswa utengeneze mfumo wa kupunguza masikini.

Masikini ni mwaribifu siku zote
 
Maskini wakishangilia TAJIRI John Tilisho kupigwa pingu mbele ya kadamnasi kama mwizi wa kuku stend ya mbezi magufuli.

Ndio mana matajiri wengi wanakua na roho mbaya, maana wanajua automatically maskini wengi wanawachukia.


Ila huu ukamataji 🙌🙌
Hawajashangilia yeye kupigwa pingu bali wameshangilia kwa kosa la yeye kukaidi wazi wazi agizo la serikali. Lazima tutii mamlaka, una hoja iwasilishe lakini si kuonesha wazi kudharau mamlaka kisa una pesa.
 
Maskini wakishangilia TAJIRI John Tilisho kupigwa pingu mbele ya kadamnasi kama mwizi wa kuku stend ya mbezi magufuli.

Ndio mana matajiri wengi wanakua na roho mbaya, maana wanajua automatically maskini wengi wanawachukia.


Ila huu ukamataji 🙌🙌
Ukweli mchungu kila binadamu ana asili ya ubinafsi.
Hakuna atayependa umzidi. Ni kuishi kwa balansi tu, ukipata mafanikio utachukiwa na ukiwa na hali mbaya utaonewa huruma, ndo nature ya kiumbe mwanadamu.
Hizo ni tabia za kimasikini. Huwezi kupata unachokichukia.
 
Ila watu sijui huwa wanawaza nini...huyo kaajiri watanzania wenzake zaidi ya 100...lakini huoni hilo unamchukia...
Sawa kafanya kosa ila sio ndo ushangilie kama juha..
Huyo ana hela hakai hata sekunde lockup anatoka..
Haya na kelele zako unadhani ndo utapewa utajiri?
 
Back
Top Bottom