Tanganian
JF-Expert Member
- Jan 27, 2025
- 6,631
- 11,178
Acha shobo na maskini ,unajishtukia sanaMbona unachekacheka hvyo?
Acha shobo na maskini ,unajishtukia sanaMbona unachekacheka hvyo?
Endelea kupig debe hapo magufuli stand, utapiga debe mpaka uchakae *****Acha shobo na maskini ,unajishtukia sana
Matajiri nao hawataki wenzao wawe matajiri kama waoMaskini wakishangilia TAJIRI John Tilisho kupigwa pingu mbele ya kadamnasi kama mwizi wa kuku stend ya mbezi magufuli.
Ndio mana matajiri wengi wanakua na roho mbaya, maana wanajua automatically maskini wengi wanawachukia.
Ila huu ukamataji 🙌🙌
Tuukatae umasikini mkuu, tena ile slogan yenu ya kutouza au kutotoa bure ifanyieni kazi, sisi wanaume hata ngada tuuze mambo yakiwa mob...Kazi kweli..
Uzuri unaelewa utaratibu vzr, pesa mkononi mguu begani 😎Tuukatae umasikini mkuu, tena ile slogan yenu ya kutouza au kutotoa bure ifanyieni kazi, sisi wanaume hata ngada tuuze mambo yakiwa mob...
Masikini anadharaulika sana!
Mguu begani?😅😅😅 Ona ninavyowaza mambo mengine!!,Uzuri unaelewa utaratibu vzr, pesa mkononi mguu begani 😎
Ndio hayohayo 😁Mguu begani?😅😅😅 Ona ninavyowaza mambo mengine!!,
Mnner!!😅Ndio hayohayo 😁
Fanya haraka babu nna usingizi 🥱Mnner!!😅
Ngoja nitoe mfano kama nachowaza ni hicho!!
Picha itahusika!!Fanya haraka babu nna usingizi 🥱
Fanya hivyo🤓Picha itahusika!!
Hapa siwezi, nina aibu sanaFanya hivyo🤓
Kwahiyo unataka wapi😂Hapa siwezi, nina aibu sana
Shobo tu na maskini ,mama yako mwenyewe maskini😅Endelea kupig debe hapo magufuli stand, utapiga debe mpaka uchakae *****