Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,280
Kampeni ya uchaguzi mkuu 2020 haitasahaulika, Magufuli hakuweza hata kutamka jina la Tundu Lissu hadharani.Toka Mwaka 2015 mpaka March 17 2021 wanaume walibaki wawili tu,TUNDU ANT-PASS LISSU na JOHN POMBE MAGUFULI.
Mpaka sasa nina uhakika 100% Tundulissu akifa Leo itatuchukua miaka mingi Sana kuzaliwa mtu wa aina yake
Hata Magufuli atamkumbuka huko aliko😆😆😆
Hawa vidume kila mmoja alikuwa tayari kufa kwa kusimamia anachokiamini,bad luck dhaifu zaidi ndio kafariki!Ila hakika wameingia kwenye historia ya Tanzania.