Mashujaa wa kweli Tanzania hawakumuogopa Hayati Dkt. Magufuli

Prof Assad angeshughulika na mwenye akili timamu ningemuita shujaa sio kupambana na Mwendazake mgonjwa wa akili halafu tukuite shujaa, shujaa kwa kupambana na mgonjwa wa Mirembe?
Nakubaliana na wewe Magufuli alikuwa ni Kichaa kabisa. Kuna waliomugopa kama akina Kabudi, Ndugai au Bashiru na wakabadili misimamo yao kwa sababu ya ukichaa wao.

Prof Assad anakuwa shujaa kwa vile hakumuogopa Kichaa akafanya kazi kwa mujibu wa Katiba
 
Wanajamvi,

Kuna watu wanastahili nishani. Kukosa uoga kwao hakuelezeki. Wakati Mwendazake anafungwa watu, kuharibu biashara zao, kuwapakazia makosa yasiyokuwa na dhamana, na wengine kuuawa, hawa jamaa hawakunyaza kimya. Kilikuwa kipindi kigumu cha kuogopesha sana. Watu hawakuwa huru kuongelea serikali na siasa mbele ya watu wasiowafahamu. Hawa jamaa hawakuyumba. Hebu tuwataje:

1) Tundu Lissu - Kwa kifupi tu - Huyu alindamana kupinga udikteta. Alikuwa na jeuri ya kumwita Mwendazake dikteta uchwara. Alifunguliwa kesi zisizokuwa na mashiko. Alipigwa risasi 16 na Mungu akamponya. Baadae akaja kumpinga Mwendazake katika uchaguzi! Katika mazingira na hofu iliyojengwa na Mwendazake, huu ulikuwa ni ujasiri wa kupewa nishani.

2) Lawrence Mafuru - Huyu alikuwa ni Managing Director wa NBC Bank na baadae Msajili wa Hazina. Alikuwa na hali nzuri tu ya maisha na angeweza kunyamaza tu akaendelea na maisha bila bughudha. Wakati Mwendazake anatimua timua watu waliokuwa wanapingana naye, Mafuru alidiriki kupingana na Mwendazake mchana kweupe kwenye TV wakati akijua wazi kuwa atapoteza kazi yake. Mwendazake aliwashutumu watu wa benki kuwa wanaweka fedha za serikali katika fixed deposit the kulamba faida kwa manufaa yao. Mafuru akiwa Clouds 360, alimpinga Mwendazake kwa kusema kuwa huo ni uongo kwa vile jambo hilo kwa taratibu za benki haliwezekani. Haikuchukuwa juma moja, Mafuru akafukuzwa kazi na Mwendazake.

3) Wakili Kibatala na jopo lake - Hawa jamaa wamesimama na wapinzani kwa kipindi ambacho Mwendazake alifanya Watanzania kuogopa Upinzani kama ukoma. Hawa jamaa hawakuterereka hata kidogo. Siyo wengi wenye msimamo huu ktk Tanzania. Wengi wanaangalia matumbo yao tu. Hawa jamaa wanastahili nishani kwa kutoogopa udikteta ule.

4) Mashangazi Maria Sarungi na Wakili Fatuma Karume - Hawa wamempinga Mwendazake hata pale ambapo watu waliogopa hata kukohoa katika vyumba vyao vya kulala. Wanastahili kupewa nishani ya ushajaa.

5) Taja wako kama wapo
Hao ndio mashujaa wetu 2015-2021,na sio Magufuli kama wengine wanavyotaka kutuaminisha
 
Wanajamvi,

Kuna watu wanastahili nishani. Kukosa uoga kwao hakuelezeki. Wakati Mwendazake anafungwa watu, kuharibu biashara zao, kuwapakazia makosa yasiyokuwa na dhamana, na wengine kuuawa, hawa jamaa hawakunyaza kimya. Kilikuwa kipindi kigumu cha kuogopesha sana. Watu hawakuwa huru kuongelea serikali na siasa mbele ya watu wasiowafahamu. Hawa jamaa hawakuyumba. Hebu tuwataje:

1) Tundu Lissu - Kwa kifupi tu - Huyu alindamana kupinga udikteta. Alikuwa na jeuri ya kumwita Mwendazake dikteta uchwara. Alifunguliwa kesi zisizokuwa na mashiko. Alipigwa risasi 16 na Mungu akamponya. Baadae akaja kumpinga Mwendazake katika uchaguzi! Katika mazingira na hofu iliyojengwa na Mwendazake, huu ulikuwa ni ujasiri wa kupewa nishani.

2) Lawrence Mafuru - Huyu alikuwa ni Managing Director wa NBC Bank na baadae Msajili wa Hazina. Alikuwa na hali nzuri tu ya maisha na angeweza kunyamaza tu akaendelea na maisha bila bughudha. Wakati Mwendazake anatimua timua watu waliokuwa wanapingana naye, Mafuru alidiriki kupingana na Mwendazake mchana kweupe kwenye TV wakati akijua wazi kuwa atapoteza kazi yake. Mwendazake aliwashutumu watu wa benki kuwa wanaweka fedha za serikali katika fixed deposit the kulamba faida kwa manufaa yao. Mafuru akiwa Clouds 360, alimpinga Mwendazake kwa kusema kuwa huo ni uongo kwa vile jambo hilo kwa taratibu za benki haliwezekani. Haikuchukuwa juma moja, Mafuru akafukuzwa kazi na Mwendazake.

3) Wakili Kibatala na jopo lake - Hawa jamaa wamesimama na wapinzani kwa kipindi ambacho Mwendazake alifanya Watanzania kuogopa Upinzani kama ukoma. Hawa jamaa hawakuterereka hata kidogo. Siyo wengi wenye msimamo huu ktk Tanzania. Wengi wanaangalia matumbo yao tu. Hawa jamaa wanastahili nishani kwa kutoogopa udikteta ule.

4) Mashangazi Maria Sarungi na Wakili Fatuma Karume - Hawa wamempinga Mwendazake hata pale ambapo watu waliogopa hata kukohoa katika vyumba vyao vya kulala. Wanastahili kupewa nishani ya ushajaa.

5) Taja wako kama wapo
Kama hawa ndio mashujaa wako, basi ukapimwe akili.
 
1. Freeman Mbowe - Huyu ni mwamba wa mapambano na hanunuliki, japo walimhujumu kiuchumi ( kuivunja Bilcanas, kung'oa mazao katika shamba lake nk) hakuwa tayari kumsujudia shetani Magu aliyeapa kuwa mpaka 2020 upinzani utakuwa umekufa. Alisimama na CHADEMA, na kuivusha Salama
2. Tundu Lissu- Akiwa msemaji mkuu wa kambi ya upinzani bungeni, alisimama kidete kueleza madhaifu yote ya Magu. Akawa anafunguliwa kesi kila siku na kulala rumande, walivyoona hatetereki wakampiga risasi 16 ili kumuua. Na bado akasavaiv
3. Kigogo 2014 - Huyu alimkosoa vikali Magu, wakaletwa wataalamu wa TEHAMA kutoka Malaysia ili wamtrace akamatwe apotezwe kwa kosa la kutoa siri nyeti za serikali, wakashindwa. Wakaletwa waisrael nao wakashindwa. Serikali ikaenda kumshtaki Twitter,akaunti yake ikafungiwa, akapambana akaifungua tena. Magu akaamua kuifunga Twitter kupitia TCRA ili isipatikane kwa watu ili watu wasimfuatilie Kigogo. Bado akaendelea kupambana kupitia VPN. Magu amekufa akitamani amkamate huyu jamaa amuonyeshe cha mtema kuni. Badala yake yeye ndo amekiona cha mtema kuni.
4. Mdude Nyagali- Huyu alikuwa anamchana hadharani Magu bila woga, alitekwa mara 2 akapigwa na kuteswa sana karibia na kupoteza maisha, lakin mizimu ya kwao ni mikali,hawakuruhusu auawe. Mwisho serikali ikaamua kumfungulia mashtaka kuwa anasafirisha madawa ya kulevya kutoka Pakistan. Mpaka sasa yupo gerezani
5. Wanasheria Fatma Karume - alipambana kuona uongozi wa kufuata misingi ya haki na sheria unafatwa, akachomewa ofisi yake, walipomuona hakomi wakamnyang'anya leseni ya uwakili. Peter Kibatala, huyu mwamba Hana maneno mengi lakin mziki wake serikali wanaujua. Amejitolea kutetea kesi zote za viongozi wa CHADEMA bure, akishirikiana na John Mallya.
6. Wanasiasa God bless Lema, John Heche, Msigwa, Sugu, Ismail Jussa, Nyalandu, January Makamba, Abeid Amani Karume nk- walimkosoa mwendazake bila woga. Wengine hapo Wakafunguliwa kesi na kukaa magereza wakitetea haki za wananchi, wengine walipoteza maslahi mengi. Ila walisimamia wanachokiamini
7. Maaskofu Bagonza, Niwemugizi, Mwamakula, Rua'ichi ,Shoo, Munga hawakumlamba miguu Magu. Siku zote waliongea ukweli wa Mungu
8. Ben Saanane- Alimkosoa vikali Magu na na akahoji hata doctorate ya Magu kuwa ya kimagumashi, Magu alivyoona anaumbuka akaamuru jamaa apotezwe mpaka leo. Damu yake iwe juu ya wote walioshiriki kumteka,kumtesa na kumuua. Damu hiyo iwe pia kwa vizazi vyao vyote,wasije kukaa na amani,kuanzia walioagiza, walioshiriki, hadi waliotekeleza. Pia hapa yupo Alphonse Mawazo ( RIP)
9. Waandishi wa habari- Azory Gwanda, Eric Kabendera, no wengine waliuawa kwa kusema ukweli, wengine waliteseka magerezani.
10. Wanaharakati wa haki za binadamu- Hellen Kijo Bisimba, Maria Sarungi, Eyakuze, Anael Nnkya, Ulimwengu, Prof Assad, Lwaitama, Olengurumwa, Kipanya, Tito Magoti, Sheikh Ponda, Mange Kimambi, Roma Mkatoliki, Tito Magoti, Maxence Melo( Huyu angeamua kutoa true identity zetu wazee wa kujificha nyuma ya key board hapa tungekwisha..much respect to him 💪👏👍nk

Hawa wote na wengine wengi ni mashujaa wa Tanzania katika kipindi kigumu ambacho kila mtu aliufyata, waliokuwa wanaandika kwenye mitandao wanatekwa wanakutwa kwenye viroba.. lakin wao hawakuogopa. Walipaza sauti zao na kupitia misukosuko mingi. Tunawashukuru kwa kuwa sauti ya wengi dhidi ya dikteta katili Magu. Mungu akuadhibu na moto mkali huko uliko.
 
IP yako inaweza kukutrace na kujua machine unayotumia, watu wakakudukua mafaili yako na credentials zako unazolog in sehemu mbalimbali wakakujua kuwa ni wewe.
Hizo software mashirika ya kijasusi kama FBI, Mossad wanazo
Wakikutaka kwa udi na uvumba wanakupata tu
Hata mi ninayo hiyo software
 
Wanajamvi,

Kuna watu wanastahili nishani. Kukosa uoga kwao hakuelezeki. Wakati Mwendazake anafungwa watu, kuharibu biashara zao, kuwapakazia makosa yasiyokuwa na dhamana, na wengine kuuawa, hawa jamaa hawakunyaza kimya. Kilikuwa kipindi kigumu cha kuogopesha sana. Watu hawakuwa huru kuongelea serikali na siasa mbele ya watu wasiowafahamu. Hawa jamaa hawakuyumba. Hebu tuwataje:

1) Tundu Lissu - Kwa kifupi tu - Huyu alindamana kupinga udikteta. Alikuwa na jeuri ya kumwita Mwendazake dikteta uchwara. Alifunguliwa kesi zisizokuwa na mashiko. Alipigwa risasi 16 na Mungu akamponya. Baadae akaja kumpinga Mwendazake katika uchaguzi! Katika mazingira na hofu iliyojengwa na Mwendazake, huu ulikuwa ni ujasiri wa kupewa nishani.

2) Lawrence Mafuru - Huyu alikuwa ni Managing Director wa NBC Bank na baadae Msajili wa Hazina. Alikuwa na hali nzuri tu ya maisha na angeweza kunyamaza tu akaendelea na maisha bila bughudha. Wakati Mwendazake anatimua timua watu waliokuwa wanapingana naye, Mafuru alidiriki kupingana na Mwendazake mchana kweupe kwenye TV wakati akijua wazi kuwa atapoteza kazi yake. Mwendazake aliwashutumu watu wa benki kuwa wanaweka fedha za serikali katika fixed deposit the kulamba faida kwa manufaa yao. Mafuru akiwa Clouds 360, alimpinga Mwendazake kwa kusema kuwa huo ni uongo kwa vile jambo hilo kwa taratibu za benki haliwezekani. Haikuchukuwa juma moja, Mafuru akafukuzwa kazi na Mwendazake.

3) Wakili Kibatala na jopo lake - Hawa jamaa wamesimama na wapinzani kwa kipindi ambacho Mwendazake alifanya Watanzania kuogopa Upinzani kama ukoma. Hawa jamaa hawakuterereka hata kidogo. Siyo wengi wenye msimamo huu ktk Tanzania. Wengi wanaangalia matumbo yao tu. Hawa jamaa wanastahili nishani kwa kutoogopa udikteta ule.

4) Mashangazi Maria Sarungi na Wakili Fatuma Karume - Hawa wamempinga Mwendazake hata pale ambapo watu waliogopa hata kukohoa katika vyumba vyao vya kulala. Wanastahili kupewa nishani ya ushajaa.

5) Taja wako kama wapo
Kumwacha Mbowe ni dhambi kubwa
 
Back
Top Bottom