yvegenc prymacov
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 1,527
- 1,913
Dkt Tulia Akson juzi alishinda ushindi wa kishindo, na kwa kweli kaliheshimisha taifa letu. Tulia Akson ni rais wa Ipu Mdogo kbs kuwahi kutokea ktk historia ya bunge hilo.
Ninapoushangilia ushindi wa Dkt Tulia, namkumbuka hayati John Pombe Joseph Magufuli. Hakika jicho lake halijawahi kukosea. JPM ndiye alimwibua Tulia kutoka chuo kikuu, alikiona kipaji chake na kumvuta kumwingiza kwenye siasa. JPM alitikiswa sana, mpaka watu wa kulee wakawa wanasema ni hawala yake, lakini leo tunaona jicho la JPM mbali.
Ninaamini JPM huko aliko anasherekea ushindi wa kijana wake.
Ninapoushangilia ushindi wa Dkt Tulia, namkumbuka hayati John Pombe Joseph Magufuli. Hakika jicho lake halijawahi kukosea. JPM ndiye alimwibua Tulia kutoka chuo kikuu, alikiona kipaji chake na kumvuta kumwingiza kwenye siasa. JPM alitikiswa sana, mpaka watu wa kulee wakawa wanasema ni hawala yake, lakini leo tunaona jicho la JPM mbali.
Ninaamini JPM huko aliko anasherekea ushindi wa kijana wake.