nje ya mada nini maana ya Boy suncheHaya mashindano ya miss Tanzania kwa sasa ni takataka kabisa , binti ana masikio kama popo au kama ya min hapa anashinda ,eti awe anajua kingereza tu , takataka kabisa.
Mtu ana komwe lakutisha anashinda eti🤔, mashavu kama puto nae anaibuka na ushindi kabisa🤣
Waandaaji wa hayo mashindano wajifunze kwa India, ufilipino na American .
Mtu kuwa mweusi sio kigezo cha kushinda miss Tanzania nyumbu nyie , tutawakumbuka sana kina faraja kota na wema sepetu enzi zao🥲
Boy sunche-kijana anayesikilizanje ya mada nini maana ya Boy sunche
safi, ongeza bia au mbege huku kwetu kimela kimeishaSijui mkuu
Si kama hivyo.Shindii kivip sasa
Kwanini wazifute sasa!! Waziache tu zingine ni reference 🤣Mbona mada imenyooka na mods hawajafuta shindii
Ikawaje nchi nyingine wakapatikana wazuri?Ila kitu ambacho hujajua mkuu mashindano ya Umiss sio mashindano ya kutafuta msichana Mzuri,..urefu,confidence,,Uwezo wa kuwasiliana na intelligence,.ucheshi and vitu kama hivyo,..sio Uzuri
Wajukuu waje waone mambo ya babu yao🤣Yeah
Nchi gani??Ikawaje nchi nyingine wakapatikana wazuri?