min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 57,782
- 165,433
Haya mashindano ya miss Tanzania kwa sasa ni takataka kabisa , binti ana masikio kama popo au kama ya min hapa anashinda ,eti awe anajua kingereza tu , takataka kabisa.
Mtu ana komwe lakutisha anashinda etiš¤, mashavu kama puto nae anaibuka na ushindi kabisaš¤£
Waandaaji wa hayo mashindano wajifunze kwa India, ufilipino na American .
Mtu kuwa mweusi sio kigezo cha kushinda miss Tanzania nyumbu nyie , tutawakumbuka sana kina faraja kota na wema sepetu enzi zaoš„²
Mtu ana komwe lakutisha anashinda etiš¤, mashavu kama puto nae anaibuka na ushindi kabisaš¤£
Waandaaji wa hayo mashindano wajifunze kwa India, ufilipino na American .
Mtu kuwa mweusi sio kigezo cha kushinda miss Tanzania nyumbu nyie , tutawakumbuka sana kina faraja kota na wema sepetu enzi zaoš„²