Masela wa enzi hizo!

Masela wa enzi hizo!

Enzi za Dr Love Pimbi
Hivi jamaa alikuwa anafanikiwaga kweli mishe zake.?
pimbi.gif
 
Sokomoko alikua mkononi mwake hakosi kua na chupa ya gongo.

Kuna siku kafatwa kilabuni na wife akapewa taarifa za ujambazi uliotokea nyumbani, akauliza "..inamaana wamechukua na ile chupa ya gongo iliyokuwa pale kwenye tendegu?" akaambiwa hapana, hiyo haijachukuliwa. Akasema, basi kumbe wizi wenyewe sio mkubwa sana, akarudi kuendelea kugonga mvinyo kilabuni.
 
Kuna siku kafatwa kilabuni na wife akapewa taarifa za ujambazi uliotokea nyumbani, akauliza "..inamaana wamechukua na ile chupa ya gongo iliyokuwa pale kwenye tendegu?" akaambiwa hapana, hiyo haijachukuliwa. Akasema, basi kumbe wizi wenyewe sio mkubwa sana, akarudi kuendelea kugonga mvinyo kilabuni.
Hahahaa! Ndumila kuwili yeye alikuaga ni tapeli fulani hivi wakati lodi lofa ni tajiri wa kuact mwenye dharau dhara fulani!

Nimewakumbuka wachoraji wa Sani enzi hizo Ibra radi washokera na Christopher Ndunguru,kitambo sana!
 
Lile jarida lilikuwa kiboko, kweli kila nyakati na mambo yake. Shuleni nilikuwa mfalme kwa kumiliki lile gazeti.
 
Hahahaa! Ndumila kuwili yeye alikuaga ni tapeli fulani hivi wakati lodi lofa ni tajiri wa kuact mwenye dharau dhara fulani!

Nimewakumbuka wachoraji wa Sani enzi hizo Ibra radi washokera na Christopher Ndunguru,kitambo sana!
lodi lofa akikupakia kwenye gari lake basi ww ni mtu special, hadi askari polisi walikua wanaambulia vumbi.

aseee sijui kwann waliacha kuPublish lile gazeti.
 
Jamaa alikua ana jalibu kutu ludisha nyuma za enzi hizo, hana nia mbaya
 
Lile jarida lilikuwa kiboko, kweli kila nyakati na mambo yake. Shuleni nilikuwa mfalme kwa kumiliki lile gazeti.
nakumbuka pia nilikua na collection yake, ukiwa bored unaweza kuanza kusoma tena toleo la mwanzo mwanzo hahaha
 
Kuna siku kafatwa kilabuni na wife akapewa taarifa za ujambazi uliotokea nyumbani, akauliza "..inamaana wamechukua na ile chupa ya gongo iliyokuwa pale kwenye tendegu?" akaambiwa hapana, hiyo haijachukuliwa. Akasema, basi kumbe wizi wenyewe sio mkubwa sana, akarudi kuendelea kugonga mvinyo kilabuni.
 
Back
Top Bottom