Masela wa enzi hizo!

Masela wa enzi hizo!

images.jpeg
 
Kuna siku kafatwa kilabuni na wife akapewa taarifa za ujambazi uliotokea nyumbani, akauliza "..inamaana wamechukua na ile chupa ya gongo iliyokuwa pale kwenye tendegu?" akaambiwa hapana, hiyo haijachukuliwa. Akasema, basi kumbe wizi wenyewe sio mkubwa sana, akarudi kuendelea kugonga mvinyo kilabuni.
Mkuu nimekukubali aisee nakumbuka hilo tukio kitambo sana,kizazi cha Sasa hawawezi jua unaongelea Nini mkuu.
 
Back
Top Bottom