TUNTEMEKE
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 579
Hivi hawa CCM wana akili kweli? Juzi CCM wamezindua kampeni zao kumnadi mgombea wao wa kata ya MASEKELO.
Jamani ni aibu bora wahesabu wamepoteza kuliko kupoteza energy yao. Mh Kilango ndo kapangwa kuokoa jahazi huku, Mkutano wao ilikuwa kama birthday yaani hata watu 40 hawakufika, mpaka ikafikia hatua ikabidi wamshushe Kilango jukwaani.
NAWAKILISHA.
Jamani ni aibu bora wahesabu wamepoteza kuliko kupoteza energy yao. Mh Kilango ndo kapangwa kuokoa jahazi huku, Mkutano wao ilikuwa kama birthday yaani hata watu 40 hawakufika, mpaka ikafikia hatua ikabidi wamshushe Kilango jukwaani.
NAWAKILISHA.