kamanda mbigi
JF-Expert Member
- Feb 8, 2017
- 1,241
- 1,546
Bashite hakuepo around kweli
Tufanye uko sawa,kutumia smg kupiga risasi hewani kwa mkono mmoja? duuh!! Halafu rapid umeiona ile recoil kidogo ajipige mwenyewe au raia..hii inaonyesha uzembe! uzembe! ukosefu weledi yeye ni askari amepanic mwenzake yuko well trained and displined anamuamua mwenzake hii inaleta taswira za ajabu good cop and bad cop.Kwa maelezo haya, polisi hajafanya kosa kabisa kufyatua risasi he
Serikali ndio inakusanya mapato hivyo! Lengo lao ni kutangaza matrilioni kila mweziMimi nilijua tu ipo siku hawa majijembe sijui nani watazua balaa. Kwani, hizi manispaa hazina akili nyingine mpaka kulazimisha mapato kwa visheria vya kipuuzi?
Yaani siku hizi kuwa na gari ni kero, utatozwa weeeeee, maana mpk kufungulia redio kwenye gari lako sasa itakuwa fine.
Watanzania tumezoea kuongea kwa fashion ya upepo wa kisiasa.huyo polisi atakuwa hana vyeti
hapana mkuu mi nifanya joke tu usijali .. ni kweli walitakiwa watumie hata barutiWatanzania tumezoea kuongea kwa fashion ya upepo wa kisiasa.
Kwa mtazamo wa haraka haraka wananchi walipomzingira mtu walijua ni mwizi na wangeweza kumuua sasa polisi kupiga risasi juu ni kwa nia ya kutawanyisha watu ili kuepusha kifo cha jamaa.
Fashion zingine zinatuvua nguo ni vema tukaachana nazo.
si ndiyo wanao walinda sisi wepesi ndiyo tunaonewaSasa kwa nini na yeye anapack sehemu isiyoruhusiwa ? Akisababisha ajali je ? Tatizo hawa wazito wanawadharau sana askari polisi
Fafanua mkuuWananchi walivyotaka kumpiga mtu wa majembe polisi wakaingilia kati, watu wakauchuna sasa baada ya kuondoka polisi wakapanda gari wakasogea mbele kidogo ndo hilo varangati la risasi lilipoanza
Soma post #86Huyu polisi ni Mjinga sana.
Shida yao inaanzaje sasa?Kuna watu huu utawala wa Kibashite ukiondoka watapata shida sana. Miongoni mwao ni hawa polisi.
Soma post vizuri. Watakucheka watu.Kighoma Malima kwani yuko hai?
Soma post vizuri. Watakucheka watu.
Taarifa nzuri ila umeileta kiumbeya zaidiMchana huu pamesikika milio ya risasi maeneo ya Masaki karibu na Double tree Hotel.
Yalikuwa ni majibizano kati ya Majembe Auction Mart waliokuwa wameambatana na Polisi walipojaribu kukamata gari lilokuwa limeegeshwa pembeni ya barabara hali ya kuwa Dereva yupo ndani.
Inasemekana gari lilikuwa la Mwanae Kighoma Malima aliyeenda IOM kufatilia ishu zake.
Mtu wa Majembe akavamia gari hilo na alipodaiwa kuonyesha vitambulisho aligoma kutoa ndio wananchi walipolizingira gari wakitaka kumpiga wakijua ni jambazi.
Polisi aliingilia kati na katika majibizano akafyatua risasi juu kumtishia ndugu Malima aliyekuwa hana hata silaha wala hakukuwa na mwananchi aliyekuwa na silaha.
Umeangalia hizo clips hapo juu kulikuwa na ulazima gani kufanya vile, tena amepanda kwenye gari tayari anashuka kupiga risasi ili iweje?Soma post #86
Ukiwa hapa jf kila kazi unaweza kusema unaiweza.Umeangalia hizo clips hapo juu kulikuwa na ulazima gani kufanya vile, tena amepanda kwenye gari tayari anashuka kupiga risasi ili iweje?
You nailed it mkuu, nimekuwa mgumu Sana kuhamia Dar Sababu za kiusalamaDar siyo sehemu salama ya kuishi