Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Hapana.....Ni binti ya Mashiba......Msaidizi wa karibu wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete
OK asante! Kamata wanzuki kopo kubwa billi ije kwangu
Hapana.....Ni binti ya Mashiba......Msaidizi wa karibu wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete
Dah.....This is too low jama.....Kwani JK na mama Tunu Pinda hawana haki ya kuhudhuria sherehe(harusi,sendoff n.k) za ndugu na jamaa zao?????........Cha ajabu kipi hapa jama mpaka maswali yawe meeeeeeeeeeengi......JK ni binadamu kama wengine,ana haki ya kuhdhuria sherehe yoyote ya ndugu,jamaa na marafiki jamani.
Ni mtazamo tu.............
Hapana.....Ni binti ya Mashiba......Msaidizi wa karibu wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete
Mkuu,
Kwahiyo ni "send-off" ngapi ataudhuria Kikwete mpaka 2015? Maana hata binti wa Salva atakuwa amefikia umri wa ku-sendiwa come 2014
Hapana.....Ni binti ya Mashiba......Msaidizi wa karibu wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete
Dah..........kwa hiyo ulitakaje......asihudhurie ama.......Rais ni binadamu kama ulivo wewe...Yaani unataka ajifungie Ikulu tu.............lol
Mkuu,
Kwahiyo ni "send-off" ngapi ataudhuria Kikwete mpaka 2015? Maana hata binti wa Salva atakuwa amefikia umri wa ku-sendiwa come 2014
OK asante! Kamata wanzuki kopo kubwa billi ije kwangu
Mhhhhhhhhhhh makubwa....yashakuwa hayo ya udhamini tena!!!!!!!!!!!!!!!............lolMkuu,
Natumaini haumo katika "wadhamini" 250 wa JK - for presidency 2010?
USA hata Raisi anavyotafuna "Baga" magazeti yanaandika, sembuse kuingia kwenye send-off?
Hivi unafahamu ki-protocali Raisi napokuwa sehemu kama "hiyo" kunakuwapo na wasaidizi wake wangapi?
Every move the president makes - costs the taxpayers "dearly"! Ndiyo maana tunataka justification!
Kikwete ni Raisi , Pinda ni Waziri Mkuu - Hawatakiwa kwenda sehemu kwa gharama yetu bila sababu za msingi!
Home B Obuntu anapoint pale msome pole pole!
yaani wewe Masa........ngoja tu nikubakishe namuogopa invizipo, I will do u thru PM
Nimemuelewa sana aisee.....si lazima Rais ahudhurie sendoff/harusi ya kila mtu....Ila kuna watu wale ambao they are so close to the Prezidaa(kikazi) Mashiba ni mmojawapo...So binafsi namuunga mkono 100% mhishimiwa sana Prezidaa kwa khudhuria Sendoff party ya Marylin binti Mashiba
Hakuna cha ajabu JK kuhudhuria send off ya Marylin. Kwani nyie mlimwalika kwenye sherehe zenu akakataa kuhudhuria? ( Baba yake Marylin anafanya kazi ikulu kama mnataka kujua connection)....
........Huyu dada kitchen party yake ilikuwa bomba wake wa viongozi wengi tu walihudhuria hata mama Salma Kikwete alikuwepo. Yaani rais akienda kwenye sherehe tu inakuwa tabu.........watanzania bana kwani mnafikiri rais sio binadamu? Mmezidi kuhoji msimuone Kikwete kwenye sherehe inakuwa tabu.
Hivi Ikulu pana wafanyakazi wangapi? Hivi Kikwete anao watu wa karibu wangapi?
Sijui kipi kinatufanya tupende kuendelea kufarahia haiba ya JK na motto ya "Mtu wa Watu"!
JK anaudhuria Ubatizo, Kipaimara, Send-Off, Harusi, Maulid, Hitima, Arobaini, ... hapo hapo ana-cruise all around the world kutafuta "wawekezaji" hapo hapo nazunguuka kupiga Kampaini ... DAR-BKB-Sumbawanga...
Huyu JK uwa anapumzika saa ngapi na kufikiria mustakabali wa Nchi hii?
Give me a Break please - yo:khaa: mweeh:jamani!!!!!!!!!!!!!!!