Hata mimi nilikuwa najiuliza maswali kama wewe maana hata Mama Tunu Pinda ndani...Wadadisi wa mambo labda watatupa jibu.Hivi naomba kuuliza huyu Marilyn Mashiba ni nani mpaka JK ahudhurie send-off yake?
Hata mimi nilikuwa najiuliza maswali kama wewe maana hata Mama Tunu Pinda ndani...Wadadisi wa mambo labda watatupa jibu.
Hivi naomba kuuliza huyu Marilyn Mashiba ni nani mpaka JK ahudhurie send-off yake?
Source: Michuzi blog
Hivi naomba kuuliza huyu Marilyn Mashiba ni nani mpaka JK ahudhurie send-off yake?
Source: Michuzi blog
Dah.....This is too low jama.....Kwani JK na mama Tunu Pinda hawana haki ya kuhudhuria sherehe(harusi,sendoff n.k) za ndugu na jamaa zao?????........Cha ajabu kipi hapa jama mpaka maswali yawe meeeeeeeeeeengi......JK ni binadamu kama wengine,ana haki ya kuhdhuria sherehe yoyote ya ndugu,jamaa na marafiki jamani.
Ni mtazamo tu.............
Dah.....This is too low jama.....Kwani JK na mama Tunu Pinda hawana haki ya kuhudhuria sherehe(harusi,sendoff n.k) za ndugu na jamaa zao?????........Cha ajabu kipi hapa jama mpaka maswali yawe meeeeeeeeeeengi......JK ni binadamu kama wengine,ana haki ya kuhdhuria sherehe yoyote ya ndugu,jamaa na marafiki jamani.
Ni mtazamo tu.............
Tatizo ameripotiwa kuhudhuria kama rais na sio JAKAYA......
Huenda ni binti ya Dr ERNEST MASHIMBA CHIEF GOVERNMENT CHEMIST! Nimelinganisha majina tu!
Kwani Rais naye si ana ndugu,jamaa na marafiki bana.......Kwa hiyo hata kama ndugu,jamaa ama rafiki ana shughuli(sherehe) Rais hapaswi kuhudhuria pale bali ni JK ndo anapaswa kuhudhuria siyo?.......Binafsi sioni tatizo lolote kwa Rais kuhudhuria sendoff ya binti Marylin Mashiba....Rais ni binadamu bana......ana haki ya kuhudhuria sherehe,misiba n.k......Sidhani kwamba ni kosa mazee
Ni Marylin Mashiba..............si Mashimba
oma swali kwanza ulielewe, mwuulizaji aliuliza hakusema ana tatizo na uhudhuriaji wa raisi
Nimesoma na kulielewa babu/bibi.....So imefikia kipindi rais lazima tujue kila mtu ambaye rais atahudhuria shughuli yake....lol
ndio, ulikuwa hujui? tumemwajiri, tunamlipa mshahara tukitaka kujua anafanya nini ni haki yake. Besides, can't help it if the the mind wonders... You are being defensive where no defense is needed
OK labda M ilisahaulika na mwandishi