CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 21,110
- 41,393
Anajua ni kilaza hataelewa kitu.Ki protocol kamtukana boss wake 😄
Anajua ni kilaza hataelewa kitu.Ki protocol kamtukana boss wake 😄
Mkuu umechanganya mafaili yule mwizi wa mataulo ni Mary Mwanjelwa, huyu mropokaji wa leo ni Mary Chatanda kazi yake ilikuwa muuza bar ndiyo akamvulia chupi kigogo mmoja wa CCM akamvuta kwenye siasa, kweli barmaid apewe urais?Yaani huyu Mwizi wa mataulo na sabuni za kwenye lodge ndiyo akabidhiwe nchi?
Huu utoko huu!Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) Taifa, Mary Chatanda, amewashutumu vikali viongozi wa vyama vya upinzani kwa kuendesha siasa za vurugu na kutumiwa na mataifa ya nje kuharibu amani ya nchi.
Akizungumza, Mei 18, 2026, kwenye mkutano wa kampeni za kumnadi mgombea ubunge wa CCM katika jimbo la Ismani, Emmanuela Mtatifikolo, huko Migoli mkoani Iringa, Chatanda amesema upinzani unachezea wema na upole wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Chatanda amerejea matukio yaliyojiri katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, akieleza kuwa maeneo yaliyokumbwa na ghasia "hayana hamu" kutokana na mipango ya watu wachache waliotaka kuiharibu Tanzania.
Mkuu umechanganya mafaili yule mwizi wa mataulo ni Mary Mwanjelwa, huyu mropokaji wa leo ni Mary Chatanda kazi ilikuwa muuza bar ndiyo akamvulia chupi kigogo mmoja wa CCM akamvuta kwenye siasa, kweli barmaid apewe urais?
Duh, anazo sifa za ziada hadi anautaka Urais, hawalitendei haki hilo jina la Mary.Usikatae mkuu na huyu Chatanda naye aliiba!
Imalize kwanza familia yako halafu ifuatie Chadema.Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) Taifa, Mary Chatanda, amewashutumu vikali viongozi wa vyama vya upinzani kwa kuendesha siasa za vurugu na kutumiwa na mataifa ya nje kuharibu amani ya nchi.
Akizungumza, Mei 18, 2026, kwenye mkutano wa kampeni za kumnadi mgombea ubunge wa CCM katika jimbo la Ismani, Emmanuela Mtatifikolo, huko Migoli mkoani Iringa, Chatanda amesema upinzani unachezea wema na upole wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Chatanda amerejea matukio yaliyojiri katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, akieleza kuwa maeneo yaliyokumbwa na ghasia "hayana hamu" kutokana na mipango ya watu wachache waliotaka kuiharibu Tanzania.
Maneno haya angeyasema Heche leo asingelala nyumbani kwake. Halafu ile takataka Nyahoza imekalisha K yake ya duara tu.
Inasikitisha sana... Anapaswa afikishwe kwenye vyombo vya sheriaManeno haya angeyasema Heche leo asingelala nyumbani kwake. Halafu ile takataka Nyahoza imekalisha K yake ya duara tu.
Hahahaa Shukrani sana kwa kunikumbusha maana nilikariri jina la Mary nikajua ndiyo huyo huyo Mwizi wa Mataulo 🙂🙂😉 ,ni ngumu kwa Muuza Potassium(K) apewe Urais labda uraisi wa wauza Potassium.Mkuu umechanganya mafaili yule mwizi wa mataulo ni Mary Mwanjelwa, huyu mropokaji wa leo ni Mary Chatanda kazi yake ilikuwa muuza bar ndiyo akamvulia chupi kigogo mmoja wa CCM akamvuta kwenye siasa, kweli barmaid apewe urais?
Toka lini muuza K akawa na kumbukumbu? Huyu ni kahaba kama makahaba wengine tu na hata kufikia rank aliyopo hapo ni kuvua chupi na kupanua mapaja ndiyo mtaji wake.Huyu kichwani kajaza rojo la viazi tena vilivyochacha!
Hivi akiambiwa tena kwa kupewa ushahidi wa video kuwa wale waliokuwa wanapora madukani na kuchoma moto vitu walio wengi ni uvccm waliotumwa na uvccm ili kuihadaa hadhira ya watanzania kuwa hao ni cdm atajificha chooni!
Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) Taifa, Mary Chatanda, amewashutumu vikali viongozi wa vyama vya upinzani kwa kuendesha siasa za vurugu na kutumiwa na mataifa ya nje kuharibu amani ya nchi.
Akizungumza, Mei 18, 2026, kwenye mkutano wa kampeni za kumnadi mgombea ubunge wa CCM katika jimbo la Ismani, Emmanuela Mtatifikolo, huko Migoli mkoani Iringa, Chatanda amesema upinzani unachezea wema na upole wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Chatanda amerejea matukio yaliyojiri katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, akieleza kuwa maeneo yaliyokumbwa na ghasia "hayana hamu" kutokana na mipango ya watu wachache waliotaka kuiharibu Tanzania.
Ni nani Huyo Mary chatMwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) Taifa, Mary Chatanda, amewashutumu vikali viongozi wa vyama vya upinzani kwa kuendesha siasa za vurugu na kutumiwa na mataifa ya nje kuharibu amani ya nchi.
Akizungumza, Mei 18, 2026, kwenye mkutano wa kampeni za kumnadi mgombea ubunge wa CCM katika jimbo la Ismani, Emmanuela Mtatifikolo, huko Migoli mkoani Iringa, Chatanda amesema upinzani unachezea wema na upole wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Chatanda amerejea matukio yaliyojiri katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, akieleza kuwa maeneo yaliyokumbwa na ghasia "hayana hamu" kutokana na mipango ya watu wachache waliotaka kuiharibu Tanzania.
Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) Taifa, Mary Chatanda, amewashutumu vikali viongozi wa vyama vya upinzani kwa kuendesha siasa za vurugu na kutumiwa na mataifa ya nje kuharibu amani ya nchi.
Akizungumza, Mei 18, 2026, kwenye mkutano wa kampeni za kumnadi mgombea ubunge wa CCM katika jimbo la Ismani, Emmanuela Mtatifikolo, huko Migoli mkoani Iringa, Chatanda amesema upinzani unachezea wema na upole wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Chatanda amerejea matukio yaliyojiri katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, akieleza kuwa maeneo yaliyokumbwa na ghasia "hayana hamu" kutokana na mipango ya
Ni nani huyu Mary chatanda huko Malawi?.Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) Taifa, Mary Chatanda, amewashutumu vikali viongozi wa vyama vya upinzani kwa kuendesha siasa za vurugu na kutumiwa na mataifa ya nje kuharibu amani ya nchi.
Akizungumza, Mei 18, 2026, kwenye mkutano wa kampeni za kumnadi mgombea ubunge wa CCM katika jimbo la Ismani, Emmanuela Mtatifikolo, huko Migoli mkoani Iringa, Chatanda amesema upinzani unachezea wema na upole wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Chatanda amerejea matukio yaliyojiri katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, akieleza kuwa maeneo yaliyokumbwa na ghasia "hayana hamu" kutokana na mipango ya watu wachache waliotaka kuiharibu Tanzania.