hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,906
- 9,691
ni mtazamo potofu wa kiwango cha chini ya kufikiri gentleman
😄
Hapa Tanzania mama samia hana shida kabisa, Mama mmoja mzungu sana,
Ila watu wanaomzunguka wanataka kumpigisha shot ili lawama zote ziende kwake
Hata yeye chatanda angekuwa Rais asingefuta chadema
Ila sasa anataka mwenzake afute ili lawama ziende kwake waseme hapendi upinzani 😄