Marriage for revenge

Marriage for revenge

Duh! Hapa kidume mwenzangu (Mume wa Vannele) jipange tu, kama vipi anza kujisogeza karibu kwa zilipendwa wako au nyumba ndogo mapeema. Huyu dada inaonekana amedhamiria kweli kweli anaweza kukufyeka nyeti zako usiku huyu. Amenitisha sana nahisi hata suala langu la kuoa mwaka huu itabidi nilisogeze mbele duh!

Ndo ujikague
Kama ulimnyodoa jipange
 
Today I want to confess that I am in this marriage to take my revenge...This man humiliated me a lot...Alinikashifu sana mpaka kwa rafiki zangu kuwa hawezi kunioa hata iweje kwa kuwa eti sina vigezo...Ilifikia kipindi alikuwa anawaambia wamtafutie mke...I wanted to prove him wrong...nilijitahidi kujifanya kipofu na kuwa mwema kwake and finally he fell into my trap,he proposed and we got married...nataka nifanye kitu kitakachomuumiza na yeye ahisi maumivu niliyoyapata...kiukweli ninampenda sana lakini nikikumbuka aliyonifanyia naumia sana,na mimi nataka nilipize.

Vannele listen up.

Don't dare do what u said Revenge!
Kwasababu inaweza kuwa sio Revenge bali wewe ndio unaanza uwasama,,.

Let me said huyo mwanaume alikuwa type ya wale domo zege, muoga kwa wanawake au mwenye aibu nyingi, so

So defence yake kwa wale waliokuwa wanakugombania ,na wewe ukawa unamsimamo wa kuwa unampenda yeye,, sasa unadhani angefanya vipi wakati yeye muoga.

Point ilikuwa anakupaka matope while nafsi yake inaumia kwa jinsi alivyokuwa anakupenda.

Unajua ubavu ukiwa mdogo na kuna mwenye ubavu zaidi yako anafukuzia kitu kizuri. Una asilimia 200% kuongopa atakapo kuuliza kuhusu hiko kitu mnachofukuzia utajibu ili umkatishe na yeye tamaa, kwa kumuambia ( hakifai, kibaya, hakina uzuri na n.k.) kupaka matope ili akiache ubaki peke yako uweze kumiliki!

Sasa nakusihi labda alitumia akili ya sungura ( Sitaki mbichi hizi) wakati angepata cha kumuweza kufikia mdizi angekula ndizi zote.
Sasa yeye alisubiri muda maalumu awashinde waliokuwa wanakufukuzia then atangaze ndoa na wewe mpaka leo mumeoana.

Be careful usije ukachekwa, mbaya zaidi tambua maji yakishamwagika hayazoleki!
Kila la kheri!
 
Sawa ndugu zangu,nimewasikia na nimewaelewa vizuri sana na pia nimetafakari kiundani,siku ya leo ilikuwa ngumu sana...Nawaahidi kubadilika,naachana na visasi na kuufunika huo ukurasa kabisa...Mimi sasa ni mtu mpya...Inawezekana Mungu aliamua kunipitisha huko ili nikomae...Nitaitunza ndoa yangu na kamwe sitotetereka.,
 
unachezea maisha unafikiri unavuta pumzi ili uichezee
 
Sawa ndugu zangu,nimewasikia na nimewaelewa vizuri sana na pia nimetafakari kiundani,siku ya leo ilikuwa ngumu sana...Nawaahidi kubadilika,naachana na visasi na kuufunika huo ukurasa kabisa...Mimi sasa ni mtu mpya...Inawezekana Mungu aliamua kunipitisha huko ili nikomae...Nitaitunza ndoa yangu na kamwe sitotetereka.,

Good to hear that, it sounds u r a real woman! Gud 9t!
 
dah!
bora nimeisoma hii thread leo.
ningeisoma juzi kati hii maisha ya watu kadhaa yangekuwa magumu.
ahsante Mungu wangu.
Vannele dear u knw wat to do!
umeshavuka mstari wa chuki mamii.ishi ndoa yako kwa amani lovie.
maisha ni haya haya tunayoishi sasa!!
 
Last edited by a moderator:
kumbuka ulijitisha huruma ukapata ndoa sasa kafanye malipiz ili umpe sababu ya kukumwaga kama alivyosema kipind kile
 
^^
Endelea mbele mama!
Lipiza mabaya yote uliyotendewa,
Lipiza kila nukta ya tusi,maumivu,na kejeli ulizopata,
Hakuna chozi la bure,
endelea tu ikiwezekana umtese au umuachie ulemavu wa maisha,
Nakusihi sana lipiza maana hakuna jema alilokutendea,
Wala usihofu kufanya hivyo, binadamu tuna karama ya ukatili,
Kautende upate ridhiko la nafsi yako,
Ukajawe furaha na amani mpya,
..
Usishangae kwa nini nasema hivi leo,
Ni kuwa uzao wa Delira upo na unadumu,
Wapo wanawake wanatumwa kwa mtu wamuangamize kwa malipo ya fedha hata kama hajamkosea,
Vipi itakuwaje kwako ambae umetendwa?
Umeumizwa? Umejitoa kuolewa si kujenga ndoa bali kubeba maudhi unayotaka kufikia hilo ulilokusudia.
..
Nimenawa mikono
Ombi langu siku ukimaliza kutenda jema ulilopanga uje utuambie ili nasi tufaidike kuwajua wanawake zaidi,na panapowezekana tuepuke kuudhi waliowetu maana wahenga walisema 'Mke ni moto ulalao kitandani na mume'
^^

Kwa nini umechagua kuwajua wanawake kupitia mleta mada? Na sio wachangiaji wengine kama Kongosho au hata mama yako aliyekuleta duniani, akakunyonyesha akikusafisha maavi pale ulipojinyea au matapishi ulipocheua?

Huwezi wajua wanawake kamwe, waweza mjua kwa kiwango kidogo mwanamke aliye karibu nawe so quit generalizing inaudhi sana.
 
Last edited by a moderator:
Wakati mwingine huwa natambuwa kuwa shetani anaishi kupitia mawazo na maamuzi ya watu...

Young lady unatumiw.a tu na shetani, lakini mwisho wa siku dhambi hiyo ya chuki i juu yako...
 
Sawa ndugu zangu,nimewasikia na nimewaelewa vizuri sana na pia nimetafakari kiundani,siku ya leo ilikuwa ngumu sana...Nawaahidi kubadilika,naachana na visasi na kuufunika huo ukurasa kabisa...Mimi sasa ni mtu mpya...Inawezekana Mungu aliamua kunipitisha huko ili nikomae...Nitaitunza ndoa yangu na kamwe sitotetereka.,

Thnks,umefanya jambo jema kusamehe.Mungu akutie nguvu.
 
Today I want to confess that I am in this marriage to take my revenge...This man humiliated me a lot...Alinikashifu sana mpaka kwa rafiki zangu kuwa hawezi kunioa hata iweje kwa kuwa eti sina vigezo...Ilifikia kipindi alikuwa anawaambia wamtafutie mke...I wanted to prove him wrong...nilijitahidi kujifanya kipofu na kuwa mwema kwake and finally he fell into my trap,he proposed and we got married...nataka nifanye kitu kitakachomuumiza na yeye ahisi maumivu niliyoyapata...kiukweli ninampenda sana lakini nikikumbuka aliyonifanyia naumia sana,na mimi nataka nilipize.

If it is that painful !
I advice you to get a good mental health specialist (Psychiatrist)to look into your troubles, you don't need a revenge you need a help.
I hope you will survive this !
 
Nilikuwa nafuatilia huu uzi toka umeanza ila naingia faraja kuona kuwa dada yetu hakusudii tena kufanya revenge..

Kwani yote hayo ni mapito ya kidunia tu na mungu anatoa majaribu tofautitofauti sana..usilaumu mtu yeyote hata huyo mumeo kwani hata yeye mungu kamjaribu kivingine( kaoa mtu ambaye alimkana kwa kejeli)

Kuhusu huyo rafiki yako aliekusikilisha simu huku aliekua mchumba wako ambaye sasa ni mumeo akiwa anakutolea kashfa, huyo si rafiki kabisaaaa. Kaa naye mbali kama ukoma.

Shukuru mungu kwa yote
 
huyo inaonekana kaolewa na huyo mwanaume kwa kumuendea kwa waganga na si mwanaume kupenda.mkimsoma tu akili yake kwan laiti mume angeamua kwa akili zake kumuoa yangeshaisha ila huyu dada kaforce marriage ili kuonyesha kaolewa kwan inaonekana alikuwa anajisifia sana kwa rafiki zake.
Na ukute kwenye mahangaiko ya kufanya aolewe kwa lazima kalala hadi na mizimu mbaya zaidi anajua kuna muda litachuja.hana lolote zaidi ya kutaka kumfilisi kabla halijachuja.Tamaa mbele mauti nyuma

Mkuu upo sahihi kabisa. Mambo ya mganga hayo.
 
ktk hii dunia binadam wanaojiita wanaume wanaudh sana. haswa wa kusini mwa Tanzania. i hate those guys.
 
Ha ha ha ha, watu wanadhani binadamu tunafanana kama embe? Human bevarior is very complex, kusema kawafahamu wanawake wote kwa ajili yamtoa mada ni kutukana jinsia ya ke.

Kwa nini umechagua kuwajua wanawake kupitia mleta mada? Na sio wachangiaji wengine kama Kongosho au hata mama yako aliyekuleta duniani, akakunyonyesha akikusafisha maavi pale ulipojinyea au matapishi ulipocheua?

Huwezi wajua wanawake kamwe, waweza mjua kwa kiwango kidogo mwanamke aliye karibu nawe so quit generalizing inaudhi sana.
 
Today I want to confess that I am in this marriage to take my revenge...This man humiliated me a lot...Alinikashifu sana mpaka kwa rafiki zangu kuwa hawezi kunioa hata iweje kwa kuwa eti sina vigezo...Ilifikia kipindi alikuwa anawaambia wamtafutie mke...I wanted to prove him wrong...nilijitahidi kujifanya kipofu na kuwa mwema kwake and finally he fell into my trap,he proposed and we got married...nataka nifanye kitu kitakachomuumiza na yeye ahisi maumivu niliyoyapata...kiukweli ninampenda sana lakini nikikumbuka aliyonifanyia naumia sana,na mimi nataka nilipize.
Vannele,je utakapo fanya hicho kitu kilicho kusudia,roho yako itaridhika?mimi nadhani tatizo lako kubwa ni ile inferiority complex ambayo siku laumu sana...maana hata kama mimi ningekua kwenye nafasi yako enzi za uchumba wenu ningeumia sana..it would hurt my pride...lakini dada angu kuna njia nyingi ambazo umuhimu wako atakuja ku utambua..tu taking into account mistakes are likely to happen on your husbands side(negative habits of married men)...and thats when he will have to feel your revenge vibrations....at that time atakua at your mercy kiasi kwamba it will be up to you.....kimsingi Vannela let life unfold revenge will come naturally...ila wewe usiwe causative agent..i guarentee..YOU WILL HAVE SWEET SUPER REVENGE...
 
Mwanamke pambaf huivunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe.......!!
 
Back
Top Bottom