[TABLE="width: 500, align: center"]
[TR]
[TD]kuna vitu vingine wanadamu huwa tunajitafutia presha! unajua
Vannele, mpaka huyo jamaa kuamua kukuoa wewe... alishajuta tu!! msamehe bure kwa upumbavu wake bana! kumbuka mafunzo ya kwenye vitabu vitakatifu.. unamkumbuka yule jamaa aliyemtukana mfalme? mkewe si ndie aliyeenda kumuokoa ili asinyongwe?.. si unakumbuka
Vannele?
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
kitu cha msingi hapa ni kuhakikisha upendo upo katika ndoa yako
Vannele, and not otherwise, ukiwa na roho ya ulipizaji kisasi, it wont wont help even a single point of a thing! hebu kwanza jiulize! ''mimi
Vannele, nitalipiza mangapi kwa mume wangu''?
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
mara leo kalewa, mara kesho kanichapa kibao, mara sijui kachelewa kurudi home, mara sijui kafanya nini..! kuna mengi hapa ya kuongelea besti!
just
let it go!
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]