Hahaha i had a bad day mpaka nliposoma hi comment...haha so funnyMtafutie ile dawa ya masai ya kusafisha tumbo umpe as breakfast af aende kazini ikafanye kazi mumo kwa mumo!teh
pili mwekee pilipili kwenye dawa ya mswaki af utafute sababu yoyote as to why pepper on the tpaste...
tatu mkiwa mnafanya jifanye mzuka umepanda umng'ate au umzabe vibao..
:decision::decision::decision:
sounds funny right?better and harmless heheheh
Wala sitokei machame.Na sifikirii kuua hata kidogo but I want to do something
Usihukumu wanawake wote...Huu ni msimamo wangu binafsi.
kuumia lazima aumie...Wanaume mkome kuchezea hisia za wanawake.
I don't care, nasubiri siku na saa.Hujawahi kusikia hii,Keep your friends close but keep your enemies closer.
Today I want to confess that I am in this marriage to take my revenge...This man humiliated me a lot...Alinikashifu sana mpaka kwa rafiki zangu kuwa hawezi kunioa hata iweje kwa kuwa eti sina vigezo...Ilifikia kipindi alikuwa anawaambia wamtafutie mke...I wanted to prove him wrong...nilijitahidi kujifanya kipofu na kuwa mwema kwake and finally he fell into my trap,he proposed and we got married...nataka nifanye kitu kitakachomuumiza na yeye ahisi maumivu niliyoyapata...kiukweli ninampenda sana lakini nikikumbuka aliyonifanyia naumia sana,na mimi nataka nilipize.
whatever
Today I want to confess that I am in this marriage to take my revenge...This man humiliated me a lot...Alinikashifu sana mpaka kwa rafiki zangu kuwa hawezi kunioa hata iweje kwa kuwa eti sina vigezo...Ilifikia kipindi alikuwa anawaambia wamtafutie mke...I wanted to prove him wrong...nilijitahidi kujifanya kipofu na kuwa mwema kwake and finally he fell into my trap,he proposed and we got married...nataka nifanye kitu kitakachomuumiza na yeye ahisi maumivu niliyoyapata...kiukweli ninampenda sana lakini nikikumbuka aliyonifanyia naumia sana,na mimi nataka nilipize.
mmh bastola tena! sitaki kuua mimi.