Marriage for revenge

Marriage for revenge

i went through a lot dada,naogopa kuanika kila kitu hapa pengine yeye ama rafiki zake ni members humu akaniwahi,ila tu ujue kwamba hakuna mtu asiyependa kuwa na familia bora na yenye amani.mimi si chizi nikafikiria kutenda,ujue yaliyonikuta ni makubwa
Nadhani hukutendwa vizuri na kama ulitendwa kiasi cha kumuwazia mabaya usingekubali kuolewa nae....ur too much in love na may be huna washauri wazuri cuz kama walidhubutu kuweka loud speaker ukamsikia unadhani wao hawaweki akakusikiliza? Just grow up and dont try to do stupid things in the name of fake revenge! SWEET REVENGE IS U TO STAY REAL AND BE A GUD WIFE AND MOTHER.....
 
Najua kuwa ninachokikusudia
sio kizuri. Ila kila nikikumbuka mabaya aliyonifanyia huwa nabaki
kujifungia na kulia sana amenitendea mengi mabaya.Hujui tu kuwa hata hii
ndoa nilijisacrifice namna gani...

pole,but kama unaamin hutalia tena,mlize tu.Na wengine wapate somo
 
Today I want to confess that I am in this marriage to take my revenge...This man humiliated me a lot...Alinikashifu sana mpaka kwa rafiki zangu kuwa hawezi kunioa hata iweje kwa kuwa eti sina vigezo...Ilifikia kipindi alikuwa anawaambia wamtafutie mke...I wanted to prove him wrong...nilijitahidi kujifanya kipofu na kuwa mwema kwake and finally he fell into my trap,he proposed and we got married...nataka nifanye kitu kitakachomuumiza na yeye ahisi maumivu niliyoyapata...kiukweli ninampenda sana lakini nikikumbuka aliyonifanyia naumia sana,na mimi nataka nilipize.

Huwezi amini miezi minne iliyopita ningekusupport asilimia 110% kwasababu mtu wangu wa karibu alipitia njia hii hii na nilimsaidia panga bonge la revenge kama la emily thorn.
Lakini siku moja nkatafakari sanaa kabla ya excute ile plan,nkamwita nkamwambia kwann usiongee nae umeleze alivyo kuumiza??
Alipoongea na mume wake alilia na kujitia kumtreat vibaya hadi goti alipiga.
Why dont you try talking?communication is important.
 
Wala sitokei machame.Na sifikirii kuua hata kidogo but I want to do something
believe in god , hilo ndiyo suluhisho la mwisho acha ubinadamu ukae pembeni na wewe muweke mungu katika mambo yote na ndiyo maana hadi sasa ukampata , believe it was god's plan kuwa naye mpaka sasa otherwise utafeli na kulia usijue cha kufanya .
 
mmmh! umebarikiwa moyo unaosamehe
^^
Endelea mbele mama!
Lipiza mabaya yote uliyotendewa,
Lipiza kila nukta ya tusi,maumivu,na kejeli ulizopata,
Hakuna chozi la bure,
endelea tu ikiwezekana umtese au umuachie ulemavu wa maisha,
Nakusihi sana lipiza maana hakuna jema alilokutendea,
Wala usihofu kufanya hivyo, binadamu tuna karama ya ukatili,
Kautende upate ridhiko la nafsi yako,
Ukajawe furaha na amani mpya,
..
Usishangae kwa nini nasema hivi leo,
Ni kuwa uzao wa Delira upo na unadumu,
Wapo wanawake wanatumwa kwa mtu wamuangamize kwa malipo ya fedha hata
kama hajamkosea,
Vipi itakuwaje kwako ambae umetendwa?
Umeumizwa? Umejitoa kuolewa si kujenga ndoa bali kubeba maudhi unayotaka
kufikia hilo ulilokusudia.
..
Nimenawa mikono
Ombi langu siku ukimaliza kutenda jema ulilopanga uje utuambie ili nasi
tufaidike kuwajua wanawake zaidi,na panapowezekana tuepuke kuudhi
waliowetu maana wahenga walisema 'Mke ni moto ulalao kitandani na mume'
^^
 
mmmh! umebarikiwa moyo unaosamehe
^^
Sio hivyo Mwallu, sikushituka kuona nia ya dada huyu kutaka kufanya anavyotaka kufanya
Rafiki yangu kipenzi yupo kaburini sasa kwa sababu ya shemeji yangu aliemuua kwa sumu kisa na mkasa allingia ktk ndoa na chuki zake. Mungu nae ni mwema mwanamke huyo yupo anatanua... Ulitaka niseme nini?
Mtoto wa mjomba wangu alinusurika kuchomwa kisu usiku wa manane mwaka 2009 akakimbia familia, kisa alikuwa hamsikilizi mkewe,, Hata Vanele atende analokusudia hatakuwa wa kwanza wala wa mwisho.
Hii thread inanijaza uchungu wa rafiki yangu bure. GO AHEAD MAMA
^^
 
Ili litimie neno alilosema....''Huna vigezo vya kuwa mke'' duu una rohi ngumu unatimiza unabii wewe mwenyewe.
 
Maneno yenu yamenigusa sana...Nimelia sana namuomba Mungu anisaidie kuvishinda vishawishi.
 
Today I want to confess that I am in this marriage to take my revenge...This man humiliated me a lot...Alinikashifu sana mpaka kwa rafiki zangu kuwa hawezi kunioa hata iweje kwa kuwa eti sina vigezo...Ilifikia kipindi alikuwa anawaambia wamtafutie mke...I wanted to prove him wrong...nilijitahidi kujifanya kipofu na kuwa mwema kwake and finally he fell into my trap,he proposed and we got married...nataka nifanye kitu kitakachomuumiza na yeye ahisi maumivu niliyoyapata...kiukweli ninampenda sana lakini nikikumbuka aliyonifanyia naumia sana,na mimi nataka nilipize.

Niliamua kukuoa ,nilipogundua dhambi niliyokutendea, nisamehe. Ninajitesa kwaajili yako. Mimi ni wako sasa na Ndoa mpenzi wangu ndio mali yetu sote.
Nashukuru leo umeniambia. Nakuombea uwe mama wa Taifa kuu katika Uzao wa tumbo lako. ASANTE
 
Today I want to confess that I am in this marriage to take my revenge...This man humiliated me a lot...Alinikashifu sana mpaka kwa rafiki zangu kuwa hawezi kunioa hata iweje kwa kuwa eti sina vigezo...Ilifikia kipindi alikuwa anawaambia wamtafutie mke...I wanted to prove him wrong...nilijitahidi kujifanya kipofu na kuwa mwema kwake and finally he fell into my trap,he proposed and we got married...nataka nifanye kitu kitakachomuumiza na yeye ahisi maumivu niliyoyapata...kiukweli ninampenda sana lakini nikikumbuka aliyonifanyia naumia sana,na mimi nataka nilipize.

whaaaaaaaaaaaaat????? seriously??
 
Jmn dada,am happy kama moyo wako unajirudi,invest ur anger kwenye vitu vingine in life ,fanya mambo mengi kupoteza mawazo.au muone psychiarist,sijui ndo inaandikwa hvo,akusaidie kupunguza stress,
 
Mtafutie ile dawa ya masai ya kusafisha tumbo umpe as breakfast af aende kazini ikafanye kazi mumo kwa mumo!teh
pili mwekee pilipili kwenye dawa ya mswaki af utafute sababu yoyote as to why pepper on the tpaste...
tatu mkiwa mnafanya jifanye mzuka umepanda umng'ate au umzabe vibao..
:decision::decision::decision:
sounds funny right?better and harmless heheheh

Hahahha duh we umetisha..!
 
wala sio wachonganishi,siku moja one of my friends alimuweka kwenye loud speaker nikamsikiliza bila yeye kujua.acha ndugu yangu aliropoka maneno sikuamini

Huyu aliyeweka loud speaker ndiyo mbaya wako.
 
Back
Top Bottom