Marriage for revenge

Marriage for revenge

^^
Katika kufanya Research kuna dhana inaitwa sample and sampling, ambapo watu wachache wanaweza kutumika ku-represent majority reality, ikiwa njia hiyo ni scientific basi taarifa zinazopatikana husaidia kupata ukweli, mf. Rasimu ya Katiba mpya imechagua maoni ya watu zaidi ya laki tatu kuwakilisha maoni ya watanzania zaidi ya milioni 30,
Back to topic.
Nimemsihi atupe mrejesho hasa kwangu mimi mwenye kiu ya kujifunza, majibu yake yatanisaidia sana, na kwake yeye tu hatoshi, wapo waliomtangulia ambao ktk jibu nililompa mwallu mwanzo, mmoja wake alimuua kwa sumu rafiki yangu,
Kuhusu kujifunza kupitia comments za wengne ni wazo jema ila nimekuwa interested na huyu aliyeingia ktk ndoa kwa nia ya kulipa kisasi.
^^

Sampling yako ni more than purposive, badilisha basi lengo la research yako maana kuwajua wanawake unahitaji random au stratified random sample. Hapo ndipo ninaposhangaa biases zako, na ndio maana kwenye uzi mwingine wakati namjibu watu8 nilisema people decide to hear na naongeza kuona what they choose to hear or see.
 
Last edited by a moderator:
We demu mpumbav kabisa.Unahisi utaweza kumfanya nini huyo jamaa wewe coward?acha utoto na upuuzi endelea kuvumilia tu kama alikula tigo si umetaka mwenyewe ili ulinde penzi?saivi uwaro unakutoka unalia lia.Nyambaf

mdau em chilaaaax relaaax! Soma comments from the begining hadi mwisho uelewe tatizo lake lilikuwa nini na alihitaji ushauri gani na amefikia maamuzi gani!
Usipende kukurupuka kutukana mkuu utaumbuka siku moja .
 
kuumia lazima aumie...Wanaume mkome kuchezea hisia za wanawake.

Tatizo litakuja ambapo utamfanyia kitu huku ukijua kitamuumiza unakuja kukuta yeye hata hajaumia sana sana atajua tu kuwa alioa nyoka, amini nakuambia maumivu yake yatakuwa mara mbili, jifunze kusamehe na kusahau hiyo ndio njia rahisi sana ya kuishi.
 
Lets love lead,try kusoma 1Wakoritho 13.Mwenye upendo hana kisasi,hana hasira,hana wivu,hana roho mbaya, hana ukatili.Kama kweli unampenda husitende baya juu yake lipa jema kwa baya hakika atakuja kutubu yye mwenyewe.
Biblia inasema hivyo, but I do understand her situation maneno tu hayatamsaidia. Hurt people,hurt people. Mpaka aombewe ndo majeraha yatapona na ataweza kusamehe
 
Sampling yako ni more than purposive, badilisha basi lengo la research yako maana kuwajua wanawake unahitaji random au stratified random sample. Hapo ndipo ninaposhangaa biases zako, na ndio maana kwenye uzi mwingine wakati namjibu watu8 nilisema people decide to hear na naongeza kuona what they choose to hear or see.

^^
Usisahau kuna merits and demerits za kila njia unayotumia ktk research, pendekezo lako ni jema japo limechelewa lilitakiwa liwekwe kwenye proposal ila nitalifanyia kazi kwenye limitations of the study.
..
Kuhusu hoja hiyo ya people choose what to hear, ni moja kati ya semi nzuri sana ambayo hata wewe inaweza kukugusa.
Katika safari ya utambuzi LISTENING IS FAR CRUCIAL THAN HEARING
Listening does not only interpreting,analysing what others say rather it includes listening even to yourself.
..
Labda niseme hili ambalo sikutaka kulisema, KUMJUA MTU awe mwanaume au mwanamke ni jambo lisilowezekana. Mwanadamu ni fumbo kwani moyo wake haupo katika paji la uso wake kwamba atasomeka kirahisi. Badala yake tunapotafuta kumjua mtu tunataka tu kupata mwangaza wa machache ktk mengi, ndio maana elimu kama psychology,astronomy ,philosophy n.k zikaishi mpaka leo.
^^
 
Last edited by a moderator:
mdau em chilaaaax relaaax! Soma comments from the begining hadi mwisho uelewe tatizo lake lilikuwa nini na alihitaji ushauri gani na amefikia maamuzi gani!
Usipende kukurupuka kutukana mkuu utaumbuka siku moja .
Kweli we mtamu.Nimekusoma.
 
Wala haitasaidia, zaidi utaumia mwenyewe huenda jamaa aka'sustain maumivuna wewe kuwa mhanga wa tukio utakalo lifanya, hata sikushauri ufanye hivyo!
 
Today I want to confess that I am in this marriage to take my revenge...This man humiliated me a lot...Alinikashifu sana mpaka kwa rafiki zangu kuwa hawezi kunioa hata iweje kwa kuwa eti sina vigezo...Ilifikia kipindi alikuwa anawaambia wamtafutie mke...I wanted to prove him wrong...nilijitahidi kujifanya kipofu na kuwa mwema kwake and finally he fell into my trap,he proposed and we got married...nataka nifanye kitu kitakachomuumiza na yeye ahisi maumivu niliyoyapata...kiukweli ninampenda sana lakini nikikumbuka aliyonifanyia naumia sana,na mimi nataka nilipize.
I would have done the same, then I realised that he is not worth it. The Man who did all that is not worth the trouble u will be going through in carrying out your revenge. The sweetest revenge is not caring,forgive and forget...Namfahamu mtu aliyefanya kama wewe, dear hakuja kuwa na amani na sasa ndoa yake imekwisha na aibu kubwa ameipata. Rudisha moyo nyuma, lisamehe hilo lipumbavu songa mbele. We ndo mwanamke, mwanamke wa shoka u made Him go down, against his own words. Revenge itayamaliza maisha yako mwenyewe na furaha na amani ya kweli itakuwa ndoto tu. Kama una amini Mungu, rudi kumwomba msamaha na uponyaji wa nafsi yako na uchungu ulio nao. Inawezekana ndoa hiyo uliingia kwa nia ovu lakini ikaja kuwa faraja ukasahau uchungu wote. Tunaishi mara moja na kufa mara moja tu, usiyatoe maisha yako zaidi kwa kisasi mana inawezekana unayetaka aumie hataumia nawe ukaumia zaidi.
 
Today I want to confess that I am in this marriage to take my revenge...This man humiliated me a lot...Alinikashifu sana mpaka kwa rafiki zangu kuwa hawezi kunioa hata iweje kwa kuwa eti sina vigezo...Ilifikia kipindi alikuwa anawaambia wamtafutie mke...I wanted to prove him wrong...nilijitahidi kujifanya kipofu na kuwa mwema kwake and finally he fell into my trap,he proposed and we got married...nataka nifanye kitu kitakachomuumiza na yeye ahisi maumivu niliyoyapata...kiukweli ninampenda sana lakini nikikumbuka aliyonifanyia naumia sana,na mimi nataka nilipize.

duh, pole sana kwa maumivu uliyoyapata before, binafsi I do believe in revenge, actually when som1 do sth so reprehensible 2me, he/she must pay 4dat........ so best wishes on your revenge.... but be careful, hakikisha hautapata maumivu ww mwenyewe
 
malipo ni hapahapa duniani wala usisumbuke my dear sister ,Mungu atamlipia mwenyewe,wewe tafuta amani yako,niamini atalipwa utashangaa mwenyewe.
 
Naamini sana kuwa mwanamke anaweza kuubadilisha moyo na maisha ya mwanaume na dunia ikawa mahali pazuri pakuishi. Ni wakati wako sasa kuonesha kuwa inawezekana kusamehe na kusahau maisha yakaendelea.umwoneshe upendo wote na uwajibike kama mke mwema,hakika nafsi itamsuta na hawezi kukufanyia ubaya tena,maana hakuna kitu kinachouuma kama kumtendea mtu ubaya halafu yeye akacheka na kulipa mema
 
Duuuuh so why Did you get married?? If you read her article, you may find the reason "why". By the way, your question reminded me of an interesting story, call it a movie, Why Did I Get Married. It is an interesting story.
 
Najua kuwa ninachokikusudia sio kizuri. Ila kila nikikumbuka mabaya aliyonifanyia huwa nabaki kujifungia na kulia sana amenitendea mengi mabaya.Hujui tu kuwa hata hii ndoa nilijisacrifice namna gani...



Mpendwa Vanelle!!Fanya yote kumbuka tu unamfanyia kitu kibaya mwanaume wako anaekupenda kwa moyo wote!!Kwa nini nasema anakupenda wanaume wengi mara nyingi atazunguka sana na kama kuna mwanamke anamvumilia kwa kila jambo anamshauri vizuri alipokosea,hana hasira,yupo humble,mara nyingi mwisho wa siku huyo ndo anakuwa mkewe,anampenda ,kwa dhati though wapo waliokosa to go anywhere,then wanabaki na one choice wanaamua kuoa hao lakin c wengi!!mwanamume anapomzingua mschana wake jua yupo au wapo wanaofanya awe hivyo,wanapomtenda akajirudi na kama ana akili,huyo atakupenda cku zote!!
Kuwa na huruma kwa akupendae!!
 
Today I want to confess that I am in this marriage to take my revenge...This man humiliated me a lot...Alinikashifu sana mpaka kwa rafiki zangu kuwa hawezi kunioa hata iweje kwa kuwa eti sina vigezo...Ilifikia kipindi alikuwa anawaambia wamtafutie mke...I wanted to prove him wrong...nilijitahidi kujifanya kipofu na kuwa mwema kwake and finally he fell into my trap,he proposed and we got married...nataka nifanye kitu kitakachomuumiza na yeye ahisi maumivu niliyoyapata...kiukweli ninampenda sana lakini nikikumbuka aliyonifanyia naumia sana,na mimi nataka nilipize.

Suppose ukamfanyia kitu kikamuumiza na revange yake ikawa KUKUUA?
 
Namshukuru Mungu kwa kuniweka huru na vishawishi vya yule mwovu...Hakika nimevishinda...Nimemsamehe Mume wangu kabisa,nimesafiri kutoka chuo kumfata nyumbani na hivi sasa nipo na mume wangu tunafurahia mapenzi yetu...Nawashukuru ndugu zangu kwa mawazo na ushauri wenu mzuri...Nilikuwa napotoka nisameheni mwenzenu.
 
Back
Top Bottom