Duuuuh so why Did you get married?? Unajua kama kisasi ni cha Mungu tu. Je ukifanya hayo unayotaka kufanya na asiumie kiasi unachofikiria then what next?? Watu kama nyie ndio mnafanya wanaume waogope kuoa. Yaani unaolewa na mtu ambaye una kisasi naye halafu eti unampenda?? What is the meaning of that love by the way?? Unanifanya niwaamini waliosema NEVER TRUST A WOMAN Period
Unakumbuka mabaya aliyokufanyia for what? kuna binadamu gani ambaye hafanyi mabaya? Bado alikufanyia mabaya ukaolewa naye halafu leo unatuambia unataka umlipizie huku unampenda ni upendo gani ulio nao kwake? mimi nikajua unasema pamoja na mabaya aliyokufanyia umemsamehe kwa kuwa unampenda,wewe unamlipizia na bado unasema unampenda! Haya endelea halafu utakuja kutupa mrejeshoNajua kuwa ninachokikusudia sio kizuri. Ila kila nikikumbuka mabaya aliyonifanyia huwa nabaki kujifungia na kulia sana amenitendea mengi mabaya.Hujui tu kuwa hata hii ndoa nilijisacrifice namna gani...
Today I want to confess that I am in this marriage to take my revenge...This man humiliated me a lot...Alinikashifu sana mpaka kwa rafiki zangu kuwa hawezi kunioa hata iweje kwa kuwa eti sina vigezo...Ilifikia kipindi alikuwa anawaambia wamtafutie mke...I wanted to prove him wrong...nilijitahidi kujifanya kipofu na kuwa mwema kwake and finally he fell into my trap,he proposed and we got married...nataka nifanye kitu kitakachomuumiza na yeye ahisi maumivu niliyoyapata...kiukweli ninampenda sana lakini nikikumbuka aliyonifanyia naumia sana,na mimi nataka nilipize.
Duuh! Wonders will never cease. Hii sijawahi isikia, si usingetokea kanisani ukamuacha akale ubwabwa na ndugu zake?
Nadhani huwa hamfikishi pia. Mwanamme akimfikisha mwanamke huwa ana-gain marks, walau za utamu tu anaotoa.
Sasa huyu mwenzetu dah! Hivi unaolewaje kwa kisasi? Si unajikomoa mwenyewe kuishi na mtu usiyempenda? Ukute na ndoa hiyo walituchangisha michango, bora wangetuacha tukalie bata hizo pesa.
wewe hakiaka siyo wife material kabisa na ukifanya revence utaprove kuwa siyo wife material kabisa na mtaachana na huji kuolewa na mwanaume mwingine maishani mwako utaishia kuzaa tu na kuachwa. mwanamke au mwanaume mwenye visasi hafai kabisa katika ndoa. kama unataka revence ya kweli basi mpende zaidi na kuishi vyema kwenye ndoa yako ili uprove kuwa wewe nimke bora
Unataka uzae nje ya ndoa?
Unataaka ucheat naye ajue?
Unataka ukombe kila kitu usepe?
Unataka umfanyie kitu cha muda tu.
niPM naweza kukushauri kitu. Siku hizi kuna bastola dadaangu, unaweza poteza maisha yako bure. Ni PM nikushauri kitu.
huyo rafiki yako ni wa kike au wa kiume? na kama ni wa kike una uhakika mumeo alikuwa hatembei nae?
Kama amekuoa wewe basi ujue wewe ndio chaguo lake, hao wengine alikuwa anawadanganya. Kisa chako ni kidogo mno kulinganisha na visa vingi vinavyotokea kila leo. Tulia kwenye ndoa yako usifikirie kisasi. I m a man, I know how we do it. Trust me.
Upendo hauko hivyo labda kama kuna upendo unaoumaanisha wewe eti unajizuia ili usizae ili iweje sasa kwani kama lengo lako lilikuwa kufanya kisasi ilikuwa lazima uolewenilijishusha kwasababu nyingi,kwanza nilimpenda sana pili nijiondolee aibu alizonisababishia na tatu nilipize either kwa kumsababishia aibu na kumuonjesha ladha ya maumivu ya mapenzi
Mmh, ila kweli aisee. Mwalimu wa mwanamke ni mwanaume. Kama kila mwanamke angepata bf wake wa kwanza, wakapendana na kuoana and no cheating, dunia ingekuwa ya amani.
Msamehe kwa ajili ya nafsi yako mwenyewe. Mpige chini, ataaibika vya kutosha. Japo nawe utasemwa lakini ni bora kuliko kuishi na mtu usiempenda katu! Do yourself a favour, usizae nae zao la kisasi.
Nampatia picha maskini amelala hapo kando yako na hajui what you are plotting. Mungu angeacha tukasoma minds, kha!