Marriage for revenge

wala sio wachonganishi,siku moja one of my friends alimuweka kwenye loud speaker nikamsikiliza bila yeye kujua.acha ndugu yangu aliropoka maneno sikuamini

Lakini pamoja na kukusema vibaya, mbona kakuoa? Sahau hayo, kama anakupenda sasa endelea naye mpende na badilika, acha roho ya visasi! Nadhani mwanamke mwenye visasi si wife material!
 

niliolewa mwaka jana tu, na sasa nina miaka 25.huwa najitahidi kumove one but nikikumbuka tu roho inauma we acha tu kakaangu.Siwezi kuelezea yote ila niliumizwa vya kutosha
 
vannele u never know,the secret revenge plan u hav may end up hurting u twice than your expectations,the best way of dealing wit marriage doldrums is not running away but rather solving them.

I am trying to overcome this situation bu it seems like hii roho imenitawala
 
^^
Endelea mbele mama!
Lipiza mabaya yote uliyotendewa,
Lipiza kila nukta ya tusi,maumivu,na kejeli ulizopata,
Hakuna chozi la bure,
endelea tu ikiwezekana umtese au umuachie ulemavu wa maisha,
Nakusihi sana lipiza maana hakuna jema alilokutendea,
Wala usihofu kufanya hivyo, binadamu tuna karama ya ukatili,
Kautende upate ridhiko la nafsi yako,
Ukajawe furaha na amani mpya,
..
Usishangae kwa nini nasema hivi leo,
Ni kuwa uzao wa Delira upo na unadumu,
Wapo wanawake wanatumwa kwa mtu wamuangamize kwa malipo ya fedha hata kama hajamkosea,
Vipi itakuwaje kwako ambae umetendwa?
Umeumizwa? Umejitoa kuolewa si kujenga ndoa bali kubeba maudhi unayotaka kufikia hilo ulilokusudia.
..
Nimenawa mikono
Ombi langu siku ukimaliza kutenda jema ulilopanga uje utuambie ili nasi tufaidike kuwajua wanawake zaidi,na panapowezekana tuepuke kuudhi waliowetu maana wahenga walisema 'Mke ni moto ulalao kitandani na mume'
^^
 
nilijishusha kwasababu nyingi,kwanza nilimpenda sana pili nijiondolee aibu alizonisababishia na tatu nilipize either kwa kumsababishia aibu na kumuonjesha ladha ya maumivu ya mapenzi

Kwahiyo baada ya kisasi upo tayari kumkosa? Pengine uko tayari kuvunja ndoa yenu?
 

nimekusikia brother
 
Last edited by a moderator:
Wakati wewe unapanga kufanya "revenge", ujue ile dawa uliyoipata kwa mganga inazidi kuisha nguvu...Sasa ngoja arudi katika akili yake ya kawaida, uone Segere lake...He did it wrong and u r also planning to do it wrong. Remember two wrongs don't make a right!

Muombe Mungu akuepushe na huo ushetani...
 

i will try
 
Mmmh....revenge inayotangazwa JF!
 

Hahahaaaa,so funny best
 
----kn AssH.Ole...najua unataka kumuua mmeo...full blood...I hate U
 
Mtoa mada,maybe tuelezee zaidi kdogo about your story isije ikawa tyunaku'judge tuu hapa
WHAT HAPPENED,EM TEMA NYONGO YAKO YOOOOTE HAPA,tujue vizuri,na tujoifunze perhaps

i went through a lot dada,naogopa kuanika kila kitu hapa pengine yeye ama rafiki zake ni members humu akaniwahi,ila tu ujue kwamba hakuna mtu asiyependa kuwa na familia bora na yenye amani.mimi si chizi nikafikiria kutenda,ujue yaliyonikuta ni makubwa
 

umenena vyema kabisa
 
Tatizo si tatizo bali kutatua tatizo kunaweza kuibua tatizo. Kuwa makin na uwazacho na malipo yake yatakuwaje
 

ntaifanyia kazi
 
Hebu tulia halafu tafakari zaidi, hisia zisiongoze maamuzi yako bali fikra. Toka nje ya box halafu jitazame (jitathmini) upya. Je ni sahihi kufanya hilo unalotaka kulifanya? Lengo la kulipa kisasi ni nini? Unadhani utapata furaha ya dhati baada ya hicho kisasi? Kwanini umuadhibu leo kwa kosa alilolifanya mwaka arobaini na saba? Na huenda hakumbuki kutenda kosa hilo. Kwanini umtese mumeo ambaye umekiri kuwa unampenda? Kwanini unataka kuirudisha historia mbaya? Kama ni muhimu sana kulipa kisasi basi leo mpe penzi motomoto ambalo halijawahi kutokea Afrika Mashariki na kati kisha mwambie hiyo ilikuwa ni adhabu kwa yote mabaya aliyofanya zamani.
 
Nmeisoma hii post nkaogopa,ila mwsho nmepata faraja kwamba umekubali kujarbu kusahau na kusonga mbele,I'm sure furaha yako ulioikosa kwa mda mrefu itarejea tena.Hio itaprove kwa wale walikuwa wanadhan hutaolewa naye kwamba wao ndo waliokuwa wrong na sasa una happy marriage,alafu mpe na zawad ya mtoto,teh teh teh teh.
 

umenigusa rafiki
 

napenda kuifurahia ndoa yangu.Lakini kumbukumbu zinanitesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…