Marriage for revenge

Marriage for revenge

Najua kuwa ninachokikusudia sio kizuri. Ila kila nikikumbuka mabaya aliyonifanyia huwa nabaki kujifungia na kulia sana amenitendea mengi mabaya.Hujui tu kuwa hata hii ndoa nilijisacrifice namna gani...

haya kama ulijisacrifice ili uje umkomeshe Go ahead and all the best hope hutalia tena na utachekelea hadi jino la mwisho maisha yako yote.
 
Lets love lead,try kusoma 1Wakoritho 13.Mwenye upendo hana kisasi,hana hasira,hana wivu,hana roho mbaya, hana ukatili.Kama kweli unampenda husitende baya juu yake lipa jema kwa baya hakika atakuja kutubu yye mwenyewe.
 
Hiyo ni ndogo nafikiria zaidi ya hiyo
 
Duh!Kwa hiyo ulimu-trap ili u-revenge???!!!Kazi ipo,kumbuka hata yeye ana malaika wake wanaomlinda, angalia hayo unayoyafikiria yanaweza kukurudia.Haya kila la kheri.
 

haya kama ulijisacrifice ili uje umkomeshe Go ahead and all the best hope hutalia tena na utachekelea hadi jino la mwisho maisha yako yote.

Furaha yangu ilishapoteaga zamani.
 
Lets love lead,try kusoma 1Wakoritho 13.Mwenye upendo hana kisasi,hana hasira,hana wivu,hana roho mbaya, hana ukatili.Kama kweli unampenda husitende baya juu yake lipa jema kwa baya hakika atakuja kutubu yye mwenyewe.

Natamani kuachana na kisasi lakini nashindwa maana nikikumbuka tu roho ya kisasi inarudi palepale
 
Duh!Kwa hiyo ulimu-trap ili u-revenge???!!!Kazi ipo,kumbuka hata yeye ana malaika wake wanaomlinda, angalia hayo unayoyafikiria yanaweza kukurudia.Haya kila la kheri.

sio kosa langu yeye ndo alisababisha yote
 
Furaha yangu ilishapoteaga zamani.

Nahisi utairudisha kwa kufanya hayo unayataka kufanya tofauti na hapo nahisi ume pata tatizo la kisaikolojia lakini ridhisha moyo wako hadi siku ujue kuwa umefanya WRONG.
 

Nahisi utairudisha kwa kufanya hayo unayataka kufanya tofauti na hapo nahisi ume pata tatizo la kisaikolojia lakini ridhisha moyo wako hadi siku ujue kuwa umefanya WRONG.

nimeshindwa kabisa kujizuia.
 
nimeshindwa kabisa kujizuia.

Kwakuwa Roho yako ni ya kisasi Fanya tu nahisi Huamini MUNGU wewe. Kumbuka Roho itendayo dhambi ndiyo itakayo kufa. Sidhani kama ungekaa naye na kuongea naye kwa nia njema ungeshindwa. Wala sidhani kama ungemuomba Mungu ungekuwa na Roho ya uovu kiasi hicho. All the best
 

Kwa hiyo uliolewa naye ili ufanye kisasi?




Kama una Roho hiyo Endelea lakini utakuja kujuta tu. Period

nilijishusha kwasababu nyingi,kwanza nilimpenda sana pili nijiondolee aibu alizonisababishia na tatu nilipize either kwa kumsababishia aibu na kumuonjesha ladha ya maumivu ya mapenzi
 

Kwakuwa Roho yako ni ya kisasi Fanya tu nahisi Huamini MUNGU wewe. Kumbuka Roho itendayo dhambi ndiyo itakayo kufa. Sidhani kama ungekaa naye na kuongea naye kwa nia njema ungeshindwa. Wala sidhani kama ungemuomba Mungu ungekuwa na Roho ya uovu kiasi hicho. All the best

Sikuzaliwa hivi mimi,Dunia imenifundisha
 
nilijishusha kwasababu nyingi,kwanza nilimpenda sana pili nijiondolee aibu alizonisababishia na tatu nilipize either kwa kumsababishia aibu na kumuonjesha ladha ya maumivu ya mapenzi

Kummbe hiyo ndo Point yako eeh haya



Sikuzaliwa hivi mimi,Dunia imenifundisha

Una jema gani ulilojifunza? one last word for you......
Two graves are needed for a revenge. One for your enemy and one for yourself..
 
wewe hakiaka siyo wife material kabisa na ukifanya revence utaprove kuwa siyo wife material kabisa na mtaachana na huji kuolewa na mwanaume mwingine maishani mwako utaishia kuzaa tu na kuachwa. mwanamke au mwanaume mwenye visasi hafai kabisa katika ndoa. kama unataka revence ya kweli basi mpende zaidi na kuishi vyema kwenye ndoa yako ili uprove kuwa wewe nimke bora
 
Wala sitokei machame.Na sifikirii kuua hata kidogo but I want to do something
Unataka uzae nje ya ndoa?
Unataaka ucheat naye ajue?
Unataka ukombe kila kitu usepe?
Unataka umfanyie kitu cha muda tu.
niPM naweza kukushauri kitu. Siku hizi kuna bastola dadaangu, unaweza poteza maisha yako bure. Ni PM nikushauri kitu.
 
wala sio wachonganishi,siku moja one of my friends alimuweka kwenye loud speaker nikamsikiliza bila yeye kujua.acha ndugu yangu aliropoka maneno sikuamini

huyo rafiki yako ni wa kike au wa kiume? na kama ni wa kike una uhakika mumeo alikuwa hatembei nae?
Kama amekuoa wewe basi ujue wewe ndio chaguo lake, hao wengine alikuwa anawadanganya. Kisa chako ni kidogo mno kulinganisha na visa vingi vinavyotokea kila leo. Tulia kwenye ndoa yako usifikirie kisasi. I m a man, I know how we do it. Trust me.
 
Mmh, ila kweli aisee. Mwalimu wa mwanamke ni mwanaume. Kama kila mwanamke angepata bf wake wa kwanza, wakapendana na kuoana and no cheating, dunia ingekuwa ya amani.

Msamehe kwa ajili ya nafsi yako mwenyewe. Mpige chini, ataaibika vya kutosha. Japo nawe utasemwa lakini ni bora kuliko kuishi na mtu usiempenda katu! Do yourself a favour, usizae nae zao la kisasi.

Nampatia picha maskini amelala hapo kando yako na hajui what you are plotting. Mungu angeacha tukasoma minds, kha!
Sikuzaliwa hivi mimi,Dunia imenifundisha
 
Vannele,uliolewa ukiwa na umri gani?Na sasa umri wako ni upi?Umesema unampenda au umemzoea?
Kisasi cha nini kwa mpenzi wako?Kaa chini utafakari mawazo yako,la sivyo utaja jishangaa na kujilaumu bure.Je wengine wakikuonesha makovu ya mapenzi hutakimbia wewe?Tunza ndoa yako!
 
Back
Top Bottom