HaaaKm Jina Langu
hahahaaaa nafsi yangu siitimiziii ndio nitaitimizia ya mwenzangu "" ??!! sema hapo kwa watoto mkuu jitahidi tu uwape vyao hiyo nihaki yao ...maana hawakukuomba uwazae "" niwewe na migenye genye yako ndio iliyosbabisha kuwaleta ...so watengenezee maisha tafadhaliMkuu niwe mkweli kabisa mimi sitafuti pesa ili nimtulize mwanamke, hata wanangu wakikua nitawachana wapambane wasitegemee kurithi kwangu, ndio sembuse mwanamke, mpaka hapa nilipofika ama maisha niliyonayo namshukuru mwenyezi mungu, naongeza kutafuta mkwanja kukidhi haja/matamanio ya nafsi yangu tu, nafsi yangu siitimizii 100% ndio nitatimizia nafsi ya mwenzangu!!
Mishe yake wewe ya nini?
Je kama anauza tigo unataka ujiunge nae?
Hizi akili ni noma jamani hahaha!!naona gari zake zimeandikwa GP=Gauteng province south hiyo mzeebaba hapo ngada lazima inahusika..
Malizia mkuuNi kweli jamaa yupo msumbiji anafanya biashara ya ruby,ila ni mtu wa karibu sana na Jack Pemba wanapiga kazi pamoja,fungua kichwa kazi anayofanya Jack Pemba utapata jibu
naona gari zake zimeandikwa GP=Gauteng province south hiyo mzeebaba hapo ngada lazima inahusika..
Aisee...huku mtaani mtu akiwa na ki alex anavimbaa balaa
mbona povu linawatoka wakuu??nimekaa huko miaka 6 nawajua vizuri wabongo hawana ishu zaidi ya kuuza sembe kama unataka njoo nikupeleke hatulopoki mzeebaba...mnalala porini we endelea kulala tu huko porini si unapambana na hali yako!!usifikiri kila mtu anatafuta hela ktk mazingira ya taabu..Hizi akili ni noma jamani hahaha!!
Mtanzania yoyote anaetumia gari na kumiliki gari za S.Africa ni muuza ngada?
Sasa kama diamond anamiliki nyumba huko s.africa tusemeje sasa?
Tafuta kijana endelea kukalia jungu... Wanaume wenzako wanalala porini
unataka ushahidi???kama unahusika na unaweza kuufanyia kazi njoo nakupeleka kwa wabongo woote wanaouza sembe gauteng yote!!haturopoki...Wakisema leta ushaidi utauleta
kaa hivyo hivyo.....!!Poor Africans, Poor JF members who tend to call themselves GT. Mlienda shule kusomea ngada, ujinga au upumbavu.?
ahaahaaaJamaa mbona nasikia ni mwalimu wa sekondari na si ajabu ashapelekwa primary
kwel mkuu hapo umenena duh nakupa "like"chukuaFact kwa kweli