hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,117
hahahaaagNaona mpenzi wangu ka-like picha ya mwana, safi tutafika tu.
hahahaaagNaona mpenzi wangu ka-like picha ya mwana, safi tutafika tu.
wewe umezeeka sio kijana...!?Ivyoivyo muige tuuu
chukiMzee acha chuki kwa vijana.
hao itakuwa kesha watafuna tafuna mpka basiiiiHongera zake kijana,nimepitia page yake kwa mbali nikaona sura za mabinti wa mjini.View attachment 738273
Mkuu niwe mkweli kabisa mimi sitafuti pesa ili nimtulize mwanamke, hata wanangu wakikua nitawachana wapambane wasitegemee kurithi kwangu, ndio sembuse mwanamke, mpaka hapa nilipofika ama maisha niliyonayo namshukuru mwenyezi mungu, naongeza kutafuta mkwanja kukidhi haja/matamanio ya nafsi yangu tu, nafsi yangu siitimizii 100% ndio nitatimizia nafsi ya mwenz
angu!!
dunia hii kumbe mnauza tigoMishe yake wewe ya nini?
Je kama anauza tigo unataka ujiunge nae?
NN hapa umeyumba ....siwaona mpka usajili wa hayo magari plate number zake zina majina gani ??Na picha tu don’t mean shit!
Wengi tu wanaweza kupiga picha na magari.
Kupiga picha na magari haimaanishi ndo unayamiliki.
Heck, hata kuendesha tu gari haimaanishi ndo unalimiliki.
mbona picha za kitambo sanaUkiongelea kijana mwenye magari makali bongo wengi watakuambia Diamond ila wachache sana hawajui mondi hayupo hata kwenye top 100 ya vijana wakali wa town kwa mandinga makali.
Huyu hapa ni kijana Marley dollars ukiacha jumba lake la maana ana miliki ndinga za maana sana mjini. View attachment 738210View attachment 738211View attachment 738212View attachment 738213View attachment 738214View attachment 738215View attachment 738216View attachment 738217View attachment 738218View attachment 738219View attachment 738220View attachment 738221View attachment 738223
hahaha wabongo kwa chuki ..acha kabisaaaAyayayaya jamaa sikuwezi aisee wivu mbaya sana mbona jamaa anajulika sana tu.
hahaaa"""Usibishe sasa huyo mtu wengine tumeanza mjua toka enzi za Vasco da Gama!..Nyie wakuja na kulalamika 'maigizo' kaeni kimya kuna watu wanalijua jiji kabla yenu!..
hahaaaHuna ubavu wa kulijua jiji kabla yangu wewe.
NN hapa umeyumba ....siwaona mpka usajili wa hayo magari plate number zake zina majina gani ??